Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Stabilizer - 40,000/= Kitanda 5*6 - 60,000/= EHD 320 GB - 25,000/= location; Mbezi kimara Cont; 0758 597106
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Pool table lipo Sinza Madukani njia ya vunja bei ilipo vizuri mipira yote ipo na fimbo mbili karibu sana kwa Tsh milioni 1,000,000 WhatsApp no 0683292291 of call 0716195522 asante sana
0 Reactions
2 Replies
908 Views
Habari Wakuu Nimekosea kuagiza MAF sensor ya gari, badala ya kuagiza ya BMW E90, nimeagiza ya BMW E46/E81/E87. Aina ni Bosch 0280218075 AIR MASS SENSOR-3(E46)1(E81/E87 Bei ni laki 3 ingawa...
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Habari zenu wakuu Hiking NI kifaa kinachorahisisha kazi ya ufungaji wa MADISHI Nilikinunua Mwanza mwaka HUU mwezi wa 5 kwa TSH 200000 Nimekwama kipesa hivyo nakiuza ili nipate PESA ninayohitaji...
1 Reactions
0 Replies
295 Views
Nauza fridge kubwa ya milango miwili ipo keko dilers,inafanya kazi vizuri.bei yake 260,000. Pia kuna frizer ndogo iko poa pia inafanya kazi vizuri imezungushiwa copper ndani .rangi yake iko poa...
0 Reactions
1 Replies
699 Views
Habari za wakati huu Wana JF. Leo nimerudi tena Ndugu Zanguni, Nauza Milango MITANO (5) ya MNINGA. Ni mipya kabisa, bei ni tsh Laki mbili na elf hamsini (250,000/=) kwa mlango MMOJA. Maongezi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari jF, Kwa niaba ya mdau wa hizo kontena, naomba kutoa taarifa kuwa kontena za futi 40 na futi 20 sasa zipo na zinapatikana kwa bei rafiki kama ifuatavyo: 40 feet kwa 8M 20 feet kwa 6M Yard...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
PTZ wireless camera - Hii ni camera inayojizungusha mahususi kwa ajili ya ulinzi na usalama wa eneo lako kama biashara au nyumbani. [emoji654]ina uwezo wa kuzunguka na kuona pande zote kwa picha...
3 Reactions
5 Replies
737 Views
Nauza earpods, wireless headphones, charges, fast chargers, and all others phones accessories karibuni Sh 30,000/= Buds pods Elfu 55,000/= Iphone sh 55,000/= Sh 55,000/= iphone 13pro max sh...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni mtumba, iko poa sana Bei ni 220,000~maongezi yapo NB: Malipo ni baada ya kupokea na kukagua mzigo Call/ normal text/ wasap #0622506787
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Linauzwa: jiko la gesi la biashara na mtungu wake-100,000 tu. Liko bunju b piga 0767 72 73 88
0 Reactions
2 Replies
567 Views
Wadau habari za leo ! Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao: 1. Dagaa nyama, 2. Dagaa wakavu/Lukumbu, 3. Lumbunga , na 4. Ng`onda pia wapo. -Mauzo ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nauza hii server cabinet ikiwa na top mounted cooling system pamoja na Sisco switch and Firewall kwa Bei ya punguzo...Niletee laki tatu na nusu uchukue.... 350,000 Location mabibo external...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Nauza mlango wa Kioo (Aluminium) mahususi kwa kupachikwa kwenye fremu ya biasharaSize: Futi 7 kwa futi 7. Umetumika kwenye frame ya bucha kwa muda mfupi wa miezi 3 tu, bei ni TZS. 150,000 Tu...
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Compressor LITA 300 Inatumia Jenereta + PETROL Horse 6 750,000🔥🔥🔥 0688986066 MBEZI-MWISHO
0 Reactions
0 Replies
426 Views
INAUZWA IPO IRINGA HAIDAIWI HAINA TATIZO NUMBER D BEI 70,000,000/= MAWASILIANO: 0745 101 615 Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
400 Views
Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=). Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA...
3 Reactions
4 Replies
614 Views
Back
Top Bottom