Nyumba mbili zenye ukubwa wa sqm 627 zinauzwa zote kwa pamoja. Zipo Sinza 'E' karibu na Lion Hotel zina hati.Picha nitatuma,kwa mwenye uhitaji anaweza kuwasiliana na mwenye nyumba hizo kwa namba...
Ndugu wadau
kuna Mashirt ya kiofisi na casual kutoka SAVILE ROW COLONDON, DEHAVILLAND NA VENTUNO 21 katika mtandao wa shilingishop.blogspot.com
Jamani tuwaunge mkono na kuwapa support...
RAV4 GX mpya ya mwaka 2003 inauzwa. imetoka bandarini january hii na imeshakatiwa plate number ipo moshi.bei mil.27 pungufu unaongea.changamkieni pamba nyepesi hiyo!! Kwa anayeihitaji aniPM.
Please find attached house either for sale or for lease, it is having five bedrooms, four ensuite, one shairing toilet. Plot size is 370SQM. Located at Kinondoni mkwajuni behind Mango garden, 500...
a) Shamba eka 2.5 linauzwa, lipo Kibaha kwa Mathias. Kutoka barabara ya lami (Moro rd) ni km 2 kutoka OUT HQ(Open Univer
sity) ni km 1.
b) Kiwanja kiko eneo la biashara Kisasa-...
Wana Jamii:
Ninatafuta Cable Locks za laptops - hasa hasa Targus:
Ninaishi Dar es Salaam
Naomba msaada kama kuna anayeweza kunielekeza ni wapi naweza kuzipata? Au kama yeye ndiye muuzaji...
Want to buy a property or a beautiful house(s) within in Dar es salaam, Tanzania?
Tired of spending days in the process?
You simply do not have to waste any more of your precious time. We do have...
Heri ya mwaka mpya.
Wakuu naomba msaada nahitaji USED laptop ikiwezekana hata mpya lakini uwezo wangu ni around laki nne za kitanzania i.e TZS 400,000 specs min Intel dual core 2.0GHz/HDD...
Price: TSH 10,000,000
Kilometers: 180000
Transmission: Automatic
Phone: +255 715 364 676
Area: Dar es salaam
vvt-i, 1480cc, 5-8 seats, spacious van boot, imported January 2012 from Japan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.