Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Hello mambers, Naomba sana msaada wenu, niliomba kazi kwenye shirika moja la wa Norway, juzi nikatumiwa email kuwa nimekuwa shortlisted hivyo nitafanya interview via zoom. Naomba kuuliza maana...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Natafuta binti wa kufanya kazi ya kuuza nguo pamoja na delivery Duka lipo kigamboni ungindoni sokoni Awe na sifa/vigezo vifuatavyo Umri: 18 to 25 Awe na simu janja/smartphone Awe mkazi wa...
0 Reactions
0 Replies
488 Views
Naomba kujua usahili kada ya afisa kilimo kwa Dar unafanyikia wapi tar 12/05/202411
1 Reactions
0 Replies
737 Views
Position: Teacher Training Coordinator Overview Project Zawadi’s mission is to ensure Tanzanian children and youth have access to a quality education. Project Zawadi (PZ) is a small non-profit...
1 Reactions
13 Replies
692 Views
Habari za wakuu Mimi ni kijana wa kiume nina bachelor ya business adminstration based in accounting, nina uzoefu wa kufanya kazi benk lakin mkataba uliisha na sikua tayari kuongeza tena kwa sababu...
4 Reactions
8 Replies
456 Views
Habari wana jamii, kwa yeyote mwenye kutafta binti kwa ajili ya kazi mbalimbali kama dukani, ofisini, receptionist au yoyote ile ya halali basi kuna binti yupo Arusha miaka yake ni 22 ana elimu ya...
1 Reactions
2 Replies
314 Views
Habari zenu wapendwa, mimi ni binti wa miaka 28 elimu yangu ni kidato cha nne ninaujuzi wa kompyuta nilisoma kozi fupi natafuta kazi ya stationary, au uwakala tigopesa nimefanya mara kadhaa hizo...
1 Reactions
2 Replies
372 Views
Habari ndugu zangu Kwa majina naitwa mwamimi shafii naishi Arusha Umri 21 Jinsia :KE Elimu: four ila nilifeli nilipata leaving tu Baba yangu alifariki mama yangu yupo Msaada wenu wakupata kibarua...
5 Reactions
21 Replies
841 Views
Nakuja kwenu komba kazi au connection ya kazi yoyote au aliye kazi ya usimamia ni mwadilifu na mwaminifu Asante mungu awabariki
8 Reactions
67 Replies
2K Views
Habarini za muda wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Ninahitaji kuzalisha fedha kuanzia millioni moja na kuendelea kwa siku ya Kuanzia leo mpaka Jumamosi. Ili niweze kutatua tahadhari...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Naitwa emery gordon Asubisye nina diploma ya procurement and supply nina uzoefu wa sales,secretary, stores,manager,clearing, natafuta kazi yoyote
4 Reactions
1 Replies
240 Views
Habari wanajf, kuna suala ambalo linanitatiza naomba wenye uelewa wanisaidie!! Iko Hivi Mimi nina Diploma ya Civil engineering (Civil technician) nikafanya Oral interview ya ( VOCATIONAL TEACHER...
1 Reactions
6 Replies
966 Views
Naomba kujua sample ya maswali ya written ya afisa Ustawi wa jamii daraja la pili Nimeitwa interview trh 12 mwezi huu na usaili Ni wa online
1 Reactions
3 Replies
2K Views
daaah wakuu kuna mtu kanifuata inbox kaniambia ni HR wa kampuni mpya ya kutengeneza juice ipo chalinze akaniambia nimtumie vyeti nikamtumia, akaniambia kwenye vyeti vyangu kuna sehemu ambapo...
24 Reactions
65 Replies
2K Views
Mimi kijana wa miaka 24 nasoma degree mwaka wa kwanza Dar es salaam. Naomba mnisaidie kazi kwa sababu najisomesha mwenyewe. Mimi hata nikipatiwa kazi ya kuingia kwa zamu sawa ila iwepo Dar es...
1 Reactions
14 Replies
567 Views
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the following; “Production and Supply of school uniforms to the School of St. Jude, Moshono Campus, Moshono, Arusha”. Bidders are...
0 Reactions
0 Replies
250 Views
Position: Driver Location: Dar es Salaam Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed...
1 Reactions
3 Replies
507 Views
Serikalini wanalipwaje watu wenye degree ya optometry?
4 Reactions
120 Replies
7K Views
SALAAAM wanajamii? Mimi ni muuguzi, jinsia mwanaume, nina umri 31 napatikana Kimara ,Dar nina leseni hai ya uuguzi nina uzoefu wa kazi hii ya uuguzi miaka 3+, Level ya fani ni diploma Naomba...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom