Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Hii imekuwa mpya kwangu katika harakati za kutafuta kibarua. Nimeambiwa niandike proposal ya namna ambavyo nitaweza kuongeza wateja na kukuza biashara. Ni upande wa Administration ya Hotel.
5 Reactions
22 Replies
1K Views
When you are over 50, the odds are stacked against you to land a job. May 6, 2024, 03:00 AM EDT AMANDA LUCIER FOR HUFFPOST Donna Kopman, a 57-year-old job seeker, is pictured at her home in...
1 Reactions
0 Replies
348 Views
Habari wana jf! Naomba msaada kwa anayefahamu taratibu za kuhama kutoka halmashauri kwenda mashirika ya umma. Mimi nilikuwa nafanya kazi katika shirika la TANESCO kwa miaka mitano nikiwa...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Kampuni Hope Holdings ambayo inaendesha biashara mbalimbali katika Jiji la Dar es salaam kama vile Mgahawa wa Papparoti, Super Market maarufu ya kuuza mazulia iitwayo Amal Carperts Mlimani City na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kampuni Hope Holdings ambayo inaendesha biashara mbalimbali katika Jiji la Dar es salaam kama vile Mgahawa wa Papparoti, Super Market maarufu ya kuuza mazulia iitwayo Amal Carperts Mlimani City na...
0 Reactions
3 Replies
864 Views
Bryan Robinson, Ph.D. Contributor author of Chained to the Desk in a Hybrid World: A Guide to Balance. Follow Apr 21, 2024,06:00am EDT Knowing how to negotiate your salary before a job...
3 Reactions
1 Replies
665 Views
Habari wana JF, Nina shida na kazi yoyote. Mimi ni kijana wa miaka 25 nimefanikiwa kufika form six, changamoto ya ada ikanifanya niishie mwaka wa kwanza MBEYA UNIVERSITY (MUST) nataman kuludi...
1 Reactions
6 Replies
382 Views
Location ni kinondoni Morocco kwenye majengo ya Morocco Square, mengineyo yanajieleza hapo kwenye bango.... Kama huelewi unaibuka tu utajieleza hukohuko sio mpaka uitwe
0 Reactions
2 Replies
438 Views
Wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha. Kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo.
9 Reactions
77 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu ,naomba msaada wa mtu ambaye anauhakika na anaweza kufanya hii kazi .Naomba kama Yuko au ni wewe mwenyewe unicheki kupitia whatsup namba 0743567159.
1 Reactions
3 Replies
465 Views
Habari wakuu, mimi ni kijana wa kiume (26), mhitimu wa chuo kikuu cha Dodoma, Shahada ya kwanza ya sayansi katika kemia (mkemia), ninaomba kazi Yoyote ile iwe ya taaluma yangu au ya kutumia nguvu...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
  • Closed
Dada wa kazi anahitajika, eneo la kazi ni Dodoma. Majukumu ni kukaa na mtoto mmoja na kazi ndogo ndogo za nyumbani. Posho yake ni 70,000/= kwa mwezi. Awe anajitambua. Tuwasiliane inbox 📥
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Position: Farm Manager Reports To: Director of Partnership and Program Development Basic Salary: 1,200,000/= Other benefits: Health insurance, airtime and meals/lunch Position overview The Farm...
0 Reactions
1 Replies
654 Views
Position: Relationship Manager Institutional Banking Job Purpose: Product Lifecycle Configuration is a sub- unit under ICT Services Management. The unit is responsible for managing the lifecycle...
1 Reactions
0 Replies
364 Views
Positions: Drillers (3 Positions) Department: Mining Canuck Company Limited is seeking to recruit Drillers to join and grow their team. You will be expected to align to the Canuck rules and...
0 Reactions
0 Replies
205 Views
Position: Project Accountant Reports to: Deputy Finance Manager Location: Mbeya Salary Grade: 8 Job Summary: You will help coordinate and contribute to the implementation of donor policies and...
0 Reactions
0 Replies
249 Views
Position Title: Receptionist Line manager: Administrative Officer Duty station: Dar es Salaam – Tanzania Purpose of the role: As the Technical Support /logistics Assistant at AGIC Energy Global...
0 Reactions
0 Replies
279 Views
Position Title: Technical Support /Logistics Assistant Line manager: Warehouse Manager Duty station: Dar es Salaam Tanzania Purpose of the role: As the Technical Support /logistics Assistant at...
0 Reactions
1 Replies
235 Views
INVITATION FOR BIDS Bids are invited from interested registered, competent, reliable and licensed suppliers/dealers to provide the under listed goods and services for the year ending 31st July...
0 Reactions
0 Replies
196 Views
Supply Of Exercise Books And Or Stationaries The International Rescue Committee, Inc. (IRC) is an international non-governmental, nonsectarian, voluntary organization providing relief, protection...
0 Reactions
0 Replies
218 Views
Back
Top Bottom