INVITATION TO TENDER NO. TP/04/2024/NCB/S/011
SUPPLY AND INSTALLATION OF IT INFRASTRUCTURE AND DISASTER
RECOVERY PLAN OFF SITE
Tanzania International Petroleum Reserves Co Ltd (TIPER)isa bulk...
Procurement Of Consulting Services-Individual
WorldVeg is looking for a consultant to assist with business development in Africa.
Applicants are invited to submit:
A cover letter explaining:
o...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.JA.9/259/01/A/517
VACANCY ANNOUNCEMENT
1.0 BACKGROUND INFORMATION
On behalf of Water...
Wadogo zangu wakike na wakiume. Naomba niwashauri kitu kimoja tu siku ya leo. Kama ukipata kazi nchi za uarabuni basi ni nchi mbili tu ndio bora, salama na mishahara mizuri.
DUBAI na QATAR hizi...
Habari wadau, naomba kufahamu mshahara wa health and safety officer mgodini na maslahi mengine, kuna mtu ni bank officer NMB (Dss) na amepata hiyo post ya HSo mgodini, je aende mgodini au abaki bank
Habari wa kuu nilikua naulizia kwa mwenye kujua wale matechnician wanaosaidia wanafunzi during practicals huwa range za mishahara yao ipoje kuanzia kwenye bachelor, master na hata PhD.
Karibuni wadau
Habari ndugu mimi nikijana wa miaka 30 nidereva natafuta bajaji au pikipiki ya mkataba au anaejua sehemu wanatoa mikataba anisaidie niweze kujikimu asanten
Position: Various Positions (Interns)
Location: UNFPA Tanzania (Dar es salaam, Zanzibar & Dodoma)
Full/Part-time: Full-time (approximately 40 hours per week)
Duration: Up to 6 months
The...
Aisee wakuu nimemaliza Diploma ya sheria pia nina Shahada ya Sheria nawazaje kupata connection ya check namba wakuu niweje kujikwamua natakunguliza shukrani.
C.C The Wolf ChoiceVariable Robert S...
Ndugu zangu mimi ni mhitimu wa profession ya quantity surveying (QS) nipo apa kuomba internship iwe wewe ni mmiliki wa kampuni au unaweza kunisaidia kwa namna yoyote ile.
ASANTE
CONTACT...
Mimi ni kijana ninayejitolea katika moja ya hospital hapa nchini katika kitengo cha mapokezi kwa miaka zaidi ya sita napenda hii kazi ya kuhudumia wagonjwa, changamoto yangu sina uhakika wa ajira...
Wakuu katika harakati za Kila siku nilijikuta nimeajiriwa na kampuni ya ujenzi ya kichina kama msaidizi wa mafundi.
Sasa mnamo Jana kuna ubishi ulizuka watu wakawa wamesimama huku foreman alikuja...
POST
MTENDAJI WA KIJIJI III - 1 POST
EMPLOYER
Halmashauri ya Wilaya ya Itigi,
APPLICATION TIMELINE:
2024-04-15 2024-04-28
JOB SUMMARY
NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Afisa Masuuli...
POST
DEREVA DARAJA II - 1 POST
EMPLOYER
Halmashauri ya Wilaya ya Itigi,
APPLICATION TIMELINE:
2024-04-15 2024-04-28
JOB SUMMARY
NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Kukagua gari kabla na...
Wakuu habari zenu,
Napenda kujua ni kweli lazima kudhibitisha vyeti vya masomo Kwa mwanasheria Kwa kupiga mhuri Kwa mwanasheria ikiwa unataka kuomba ajira serikalini.
Na je Kwa waliowahi Fanya...
Hello .
Hivi ajira za afya na Ualimu kibali cha kuajiri watumishi Elfu 10300 na Raisi samia mwaka wa fedha 2023/24.
Zinatoka lini kwa anayejua Tetesi?
Waziri na viongozi wake wa Tamisemi Dana...
Habari wakuu.
Nipo na binti wa miaka 25, ni mkazi wa Wilaya ya Dodoma mjini Kata ya Ihumwa.
Elimu yake ni Stashahada ya mahusiano kazini kati ya mwajiri na mwajiriwa (diploma in industry...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.