Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Relationship Manager; Mortgage Financing (1 Position(s) Job Location: Highlands Zone Job Purpose: Required to grow Mortgage financing portfolio and ensure that the product is well positioned in...
0 Reactions
0 Replies
217 Views
Habarini nyote, Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 30, Ninaishi Mbeya mjini mitaa ya Mwambene. Elimu yangu ni astashahada ya maendeleo ya jamii, lakini pamoja na hivyo Nina uzoefu...
5 Reactions
12 Replies
786 Views
Baada ya hii ajali ya jana iliopelekea kupoteza maisha ya wanadamu wenzetu, nimejikuta nikiwaza sana kuhusu kumshauri mwanangu kusomea urubani. Ni nini hasa kinachowavutia watu kusomea na kufanya...
1 Reactions
65 Replies
24K Views
Hadi leo TAMISEMI wapo kimya wakati walitangaza mwisho wa February watatoa ajira za ualimu na afya duh
7 Reactions
16 Replies
3K Views
Siku mbili tatu hivi Kuna tangazo limekuwa likitembea linalohusiana na ajira za ualimu na afya. Japo tangazo hili ukilitafuta kwenye website ya TAMISEMO halionekani, sasa nauliza Tangazo hili...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, Ninaomba kuuliza kuhusu hizi Ajira mpya za wahudumu wa afya ngazi ya jamii zilizotangazwa na Tamisemi kwa mtu mwenye uelewa 1. Kiwango cha mshahara ni bei gani? 2. Kama mtu Una...
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Hata kama ni jobless, bado maisha inabidi yaendelee. Pengine muda huu, kuna jobless wa Mungu anakaribia kukata tamaa au ameshakata tamaa kwa sababu hajui afanye nini au mishe mishe gani kusukuma...
54 Reactions
551 Replies
40K Views
Habari Wana JF Ni matumaini yangu mnaendelea vizuri, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natoa huduma ya kuangalia nyumba au watoto endapo muhusika amepata udhuru au kwa sababu zingine...
1 Reactions
9 Replies
581 Views
Wakubwa poleni na majukumu mbalimbali, hata wale mashabiki wezangu poleni pia. Niende direct kwenye uhitaji wa msaada wangu. Nimekuwa mfuatiliaji na mtafutaji wa haya maisha yetu. 1. Nina shida...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
General Description of assignment title: Communication Associate Assignment country: United Republic of Tanzania Expected start date: 05/01/2024 Sustainable Development Goal: 17. Partnerships...
0 Reactions
1 Replies
271 Views
Job description The Department of Geography in collaboration with the University of Cape Town’s Environmental Humanities South (EHS) is implementing a four-year research project namely: Critical...
1 Reactions
2 Replies
370 Views
Manager – Tax & Regulatory Services KPMG is a global network of professional services firms providing Audit, Tax and Advisory services. Our purpose is to inspire confidence and empower change. We...
0 Reactions
1 Replies
372 Views
Contracts and Compliance Administrator – KPMG Tanzania KPMG in Tanzania is part of a global network of independent KPMG Firms that offers Audit, Tax, Advisory services. Through the talent of our...
0 Reactions
1 Replies
318 Views
G E N E R I C P O S T D E S C R I P T I O N SECTION 1 VN IOM/DAR/026/2024 Position Title Migration Health Physician (Health Assessment Programme)-1 Position Position Grade NO-B Appointment Type...
0 Reactions
1 Replies
334 Views
Habari zenu wakubwa kama heading inavyoelezea hapo nahitaji mtu mwenye account ya bolt ya gari ambae haitumii kama atakua tayari kuniuzia anichek inbox tuyajenge
0 Reactions
4 Replies
751 Views
Habari za asubuhi Wana jamiiforums, Nimatumaini yangu muwazima wa afya. Wakuu mimi ni afisa tabibu yaani clinical officer ninafanya kazi katika kituo x cha afya cha private na Sina mkataba wa...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Ofisi inajihusisha na ujasiriamali wa kuuza Series/movies kwa watu majumbani. Anahitajika kijana mwenye uzoefu na kazi ambae ameshawahi kuifanya na mwenye uzoefu nayo. Lakini kwa ambae anajua...
9 Reactions
60 Replies
2K Views
Retail Sales: Earn 90,000tshs for selling 24 cans at retail price. Wholesale Sales: Earn 120,000tshs for selling 60 cans at wholesale price. Requirements: No Prior Experience Needed Training and...
0 Reactions
1 Replies
368 Views
Habari za wakati huu!! Mimi ni muhitimu wa: 1)Ngazi ya DIPLOMA in Civil Engineering mwaka 2018 2)Ngazi ya BACHELOR in Civil Engineering mwaka 2022 ✓chuo cha MUST. ✓ Uzoefu wa miaka 3+ NATAFUTA...
2 Reactions
0 Replies
513 Views
About us From Arthur Guinness to Johnnie Walker, our business was founded on people of great character, and in 250 years, nothing’s changed. We’re the world’s leading premium alcohol company. Our...
0 Reactions
2 Replies
274 Views
Back
Top Bottom