Expressions Of Interest Of Service Providers
Helium One (Njozi) Limited, a company incorporated in the United Republic of Tanzania with registration number 117270 (the Company), is seeking...
Pre-Qualification Of Building Contractors For The Construction Of
An Opd For Likuyusekamaganga Health Centre In Likuyu Ward,
Namtumbo District, Ruvuma Region.
Mantra Tanzania Limited (Mantra)...
CAMFED Overview
CAMFED (the Campaign for Female Education) is internationally recognised as a leader in education for girls, for its child protection policy and practise, and as a voice for girls’...
Wahanga wa ajira za sekta ya maji (engineering na maabara) ni wengi..
Please drop your details na wale ambao wako na connections au fursa wataona na kutuunganisha InshaAllah..
Ahsante.
Habari.
Jamiiforum nimeweza kuwafuata inbox mara zote nikiitaji kusaidiwa hali haikuwa hivyo,
Mimi ni Miongoni mwa vijana 265 Tuliopata kazi za mkataba zilizotolewa na katibu wa Tamisemi ajira...
Habari wana JamiiForums samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini ana tattoo ya jina mkononi, anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma na pasi wanasema makovu...
Anahitajika mdada mwenye ujuzi wa wa IT
Kwenye nyanja zifuatazo:
1. Graphics design
2. Microsoft package
3. Networking design and implementing
5. Social media marketing
6. Good customer care...
Mimi ni mfamasia (nimesajiliwa na baraza la famasi). Natafuta kazi yeyote inayoendana na taaluma yangu au hata isiyoendana (nina uwezo mkubwa wa kujifunza vitu vipya).
Nina utaalamu mkubwa...
Habari?
Natafuta gari ya hesabu au mkataba kwa ajili ya biashara ya taxify ya mitandaoni, nina uzoefu wa kutosha kwenye kada hii,leseni yangu ni hai na halali kwa taratibu na sheria za jamuhuri...
Habari za muda! Kuna tangazo la nafasi za kazi za muda tume ya taifa ya uchaguzi.
Naomba kuuliza je ni lazima uwe umesoma fani za IT/ ICT ndiyo unaweza chukuliwa au pia hata kama una uzoefu wa...
Samahan sana wana JamiiForums,
Naombeni msaada kwa yeyote atae guswa m ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nmetoka chuo mwez wa tatu 2022 nmezunguka sana kutafta nafasi ata ya kujitolea nakosa...
Kwenye makampuni mengi ya kubeti kuna hii kitu inaitwa jackpot ambapo kwa pesa yako kidogo tu utakayoweka unaweza kuondoka na mamilioni ya fedha.
Sasa na mimi nataka niingie mazima kwenye kubeti...
Mliowahi kujaza system ya taesa mnisaidie mimi nimejaza zile Required information zote na vyeti kila kitu na profile nimeweka kila kitu.
Kipengele ni kwenye submit CV hapabonyezeki yaani inakua...
Habari za muda huu wakuu.
Mm ni mwanafunzi wa mwaka wa 3 Chuo kikuu cha SUA.
Ninachukua Bachelor of Science in Environmental Sciences and Management. Ninatarajia kumaliza elimu yangu ya chuo...
Kwanza nimshukuru sana mheshimiwa kwa kupata hii nafasi ya kuposti Leo,
Lakini niwapongeze rafiki zangu walioajiriwa mwaka 2014, mwezi wa Nne tar 1,
Leo hii wametimiza miaka 10!
Lakini cheo...
Position Title: Senior Software Developer Consultant
Work station: Dar-es-salaam, Tanzania
Employment type: Contract based
Duration: 12 Months
Application deadline: 27th January 2024: 1700hrs
Job...
Habari wakuu!
Naomba kufahamu baada ya kutuma maombi kwa katibu mkuu utumishi huwa inachukua muda gani mpaka upate majibu yako ya barua!
Taratibu zote za kuomba uhamisho tayali nmefanya pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.