Wakuu kuna nafasi za kazi .
Wanahitajika Gradute Engineers (Civil) wawili na Driver mmoja. Engineers wawe wame graduate mwaka jana 2023. Driver awe ana cheti cha NIT na awe amezaliwa kuanzia...
Habari nina pikipiki Used ina mwaka mmoja.
Natafuta kijana wa kumpa mkataba Awe ana nipa Elfu 10 kwa siku.
Baada Ya miezi nane nitampa kadi.
Eneo liwe Dar.
Habarini wakuu na poleni kwa majukumu.
Naomba kwa walio na uzoefu wa kuanzisha NGO,s kama hizi non-profit organization masuala ya wanawake, watoto, vijana na vikundi ili kuleta impact kwa jamii...
Habari,
Mimi ni msichana wa miaka 26, natafuta nafasi ya kazi ya maendeleo ya Jamii name elimu ngazi ya dilpoma au shirika lolote linalohusiana na maendeleo ya jamii.
Ninauzoefu niliwahi...
Position: Director of Retail and SME Banking
Department: Retail and SME Banking
Reports To: Chief Executive Officer
Level: Director
Location: Head Office Dar- Es -Salaam
KEY RESPONSIBILITIES...
Habari za leo wanajukwaa wote.
Naombeni msaada kwa haya yafuatayo kuhusu interview(usaili) za utumishi maarufu PSRS (ajiraportal).
1. Usaili wa utumishi unajibiwa kwa "essay au short answers' tu...
Habari wapendwa, mie ni kijana wa miaka 29 nilikuwa na fedha vizuri kabisa but nikafukuzwa kazi for now Sina ishu na nilikuwa naishi Mwanza but for now niko Arusha nina week mbili tena nimefikia...
Habari wadau,
Jamani mwenye kujua au anayo nafasi yoyote ya kazi nina taaluma ya welding kama vile.
Gate/ madrisha/ mabango/ minara/ kenchi
Pia naweza kufanya kaz yoyote ya halali msaada nipo...
Nina uzoefu wa miaka kumi kusimamia Kampuni za clearing and forwarding. Nimebobea kwenye importations, Exportations, Transit pia usimamiaji wa Customs Bonded Warehouse.
Naombeni connections...
Position: Group Head of Sales and Marketing
Job Purpose
Reporting to the Managing Director, the incumbent will be responsible for all sales and marketing activities. Additionally, the role will...
Position: Investment Officer
Location: Mbeya
Department: Operations
Company Details:
EFTA is a reputable award-winning equipment finance company based in Tanzania with numerous branches across...
Position: School Improvement Project Officer
Reports To: Education Program Manager
Location: Babati District, Manyara Region
Contract Type: Employment
ABOUT THE SCHOOL IMPROVEMENT PROJECT: So...
Wakuu bila shaka mu wazima wa afya.
Baada ya hustle za hapa na pale, kuandika nyuzi kadhaa humu na reply kedekede nikitafuta kazi hatimae nilipata, japo sio kutoka humu ni connection tu ya jamaa...
Habari wana Jamii Forums,
Leo napenda kuwashirikisha ndugu zangu ninyi mambo kadha wa kadha juu ya uhamiaji.
Najua Tanzania tuna watu wengi sana wanapenda kufanya kazi nje, pia ukosefu wa ajira...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, mbunifu, mwaminifu na mchapakazi
Nimesomea maswala ya manunuzi na ugavi ngazi ya shahada katika chuo cha uhasibu Tanzania TIA na nimesajiliwa na bodi PSPTB...
Wakuu kuna nafasi ya kazi ninataka kuiomba ila moja ya document wanazotaka ni writing sample, yenye maneno maximum 1,000.
Ni kazi ya research assistant, naomba kusaidiwa ufahamu. Writing sample...
Wakuu Naomba Kujua Posho Za Ma Staff kwa Maana wale Non Academic Officer wa Taasisi za Elimu ya Juu
Ukiachana na Basic Salary Je wanapewa fedha Za Chakula,usafiri na Nyumba kama zilivyo baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.