Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari, Majuzi kulitangazwa nafasi za ajira katika Bank ya PBZ Kupitia mitandao mbalimbali na pia kwenye website ya PBZ Bank. (Tangazo nime ambatanisha hapo chini). Kwenye tangazo wamesema...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jaman wana JF mwenye connection ya kazi naomba kuunganishwa tafadhari, nimejaribu kuomba kazi viwanda kadhaa hapa mbeya lakini hakuna mafanikio yoyote, kama kuna mtu anaweza kunisaidia...
1 Reactions
6 Replies
520 Views
Eneo Duka Lilipo : DAR - STOP OVER MAJUKUMU : 1.Kuuza Vitu Dukani 2.Kuwashawishi Wateja Kununua Kwa kuwaelezea Faida na Hasara ya Kutotumia Bidhaa Husika. 3.Usafi wa Vitu na Duka Zima kwa...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari Wana JF, Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu naomba kuuliza kama Afisa Mazingira anaweza fanya majukumu na.kazi za Afisa Misitu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau kuna kampuni hii ngeni kwangu naombeni taarifa kwa anayeifahamu vizuri mana napata ukakasi sana kwa taarifa nilizopata. Kwanza niseme wazi hii kampuni nilikuwa sijawahi isikia popote hadi...
5 Reactions
25 Replies
7K Views
Habari za muda huu wakuu? Samahani bwana, hivi Kuna mtu yeyote anaufahamu mradi unaohusika na maswala ya Ukimwi unaosimamiwa na Sonnabend NGO? .. Wamemwaga ajira nyingi sana zenye mshahara mnono...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za leo. Natafuta binti smart, mchangamfu, asizidi 27 kwa ajili ya kuuza liquor store mitaa ya mbezi beach. Awe na nida pamoja na wadhamin wawili. Nichek PM
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari wanandugu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 niko kwenu hapa kutafuta kazi yoyote ile Kwa mkoa wa Dar es salaam au Kahama.. Uzoefu nlionao driving. Kulinda. Kufuga. Na kazi yoyote ile...
3 Reactions
3 Replies
506 Views
Amani kwenu wakuu nahitaji msaada mliowahi kuhudhuria interview ya afisa kilimo mwenye shahada utumishi maswali huwa yanakujaje wakuu.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Samahani wakuu Nimeitwa interview mkwawa leaf tobacco kama store clerk naombeni sample ya maswali nayoweza kutana nayo?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa tatu na wa mwisho chuo kikuu cha Dodoma BSC IN HEALTH INFORMATION SYSTEMS vp kuna mtu ana uzoefu huko na namna ya kuomba na kupata skills system and network...
0 Reactions
8 Replies
991 Views
Job Description: Cashier Position: Cashier If you're interested, send your CV & portrait photo to the following email address: kanya@saintparts.co.jp Job Summary: As a Cashier, you will play a...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini, Kwa wale wafanyabiashara, wafanyakazi, wajasiriamali haswa mliokuwepo mkoani hata ambao mpo ndani ya dar es salaam ambao mlikuwa mnapata shida kuagiza kitu au bidhaa yeyote kutokana na...
10 Reactions
56 Replies
2K Views
Watumishi wa kada mbalimbali Halmashauri ya wilaya ya Rorya wamesimamishiwa mishahara yao kwa mwezi huu kwa kushindwa kufanya planning ya kazi zao kupitia mfumo wa ESS(PEPMIS). Baadhi ya watumishi...
3 Reactions
43 Replies
6K Views
Kichwa tajwa hapo juu chajieleza vizuri Mimi nikijana wa kiume umri miaka 21 ni mwanafunzi wa chuo. Natumia muda wangu kutekeleza majukumu kwa watu mbali mba ambao wanakuwa wanabanwa na majukumu...
3 Reactions
6 Replies
538 Views
Nini kifanyike kutatua changamoto ya huyu mdudu anaeitwa "Connection" kwenye ajira rasmi?
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Position: Supervisor – Dewatering Contract type & Duration: Unspecified time contract Department: Open Pit Mining Reporting to: Senior Supervisor – Dewatering Number of Positions...
0 Reactions
6 Replies
413 Views
Habari! Habari za mchana ndugu zangu, anahitajika mtaalamu was maabara ngazi ya Cheti jinsi Ke, Mshahara maelewano. Call: 0768396747 Ahsanteni.
0 Reactions
2 Replies
478 Views
Position: Graduate Mining Engineer Location: Geita Gold Mine, Geita Contract & Duration: Permanent Department: Mining Reporting To: Project Manager Duties and Responsibilities Comply with AUMS...
0 Reactions
2 Replies
346 Views
Position: Technician 1 – Evaluation Contract type & Duration: Unspecified Time Contract Department: Geology Reporting to: Supervisor QAQC Number of Positions: One (1) PURPOSE OF THE ROLE: The...
0 Reactions
2 Replies
286 Views
Back
Top Bottom