Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari wanaJF, naomba kujua kama kuna waloitwa kufanya usaili RUWASA wilaya ya Chemba mkoani Dodoma, natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
486 Views
Habari wana JF wote; Kwa jina naitwa Adam Ramadhani, Nina umri wa miaka 25 na kwa sasa naishi mkoani Tanga. Nimefanikiwa kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu na kupata shahada ya Uhasibu...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau kwema, mfano una cheti cha C1 ya udereva unaweza kuomba kazi utumishi bila kua na advance driving grade 2 naombeni msaada kwa mnaofaham na mawazo pia
0 Reactions
3 Replies
854 Views
Tender No: Tcso/Ecd/2024/03 Invitation To Tender RFQ Title: Printing of ECD monitoring tools and Job aid. Submission Date and time: – 28/2/202411:10 A.M Hrs. Question & clarification...
0 Reactions
2 Replies
202 Views
Consultancy to Carry Out a Comprehensive Review of the Institute of Adult Education Policies and Programmes Terms of Reference Background and Context The Institute of Adult Education (IAE) is a...
0 Reactions
2 Replies
396 Views
Invitation for BID No. GIZ/KOFI EIB/83459390/2024 Pre-feasibility study for a Wastewater Treatment Plant for the Stone Town and New Town, Zanzibar. The City Climate Finance Gap Fund (“Gap...
0 Reactions
2 Replies
349 Views
Program Name: Bachelor Of Science In Computer Science Position: Assistant Lecturers (3 Positions) Qualifications - Holders of a Master of Science and a Bachelor of Science in Computer Science...
0 Reactions
2 Replies
341 Views
Kuna karakana ndogo inahitaji fundi wa kushona viatu vya kiume hasa travolta. Mjuzi, awe na uwezo wa kutengeneza hivyo viatu na vionekane vipya kabisa. Malipo kwa kila pea ni sh. 5000/= Kama una...
0 Reactions
3 Replies
593 Views
Habari za mchana wanajamii. Mimi ni mwanaume kiumri niko ktk early 30s. Nimemaliza college since miaka kadhaa iliyopita hivi, currently iam holding an empty BSps. Kiufupi sikuweza kupata kazi...
1 Reactions
3 Replies
457 Views
Anahitajika mfanyakazi wa stationary awe ana uwezo wa kutumia Computer Software mfano Adobe photoshop.Location ni Arusha Mjini. Mwisho wa maombi ni tarehe 30/02/2024. Cv itumwe...
0 Reactions
0 Replies
288 Views
MAOVU NDANI YA MCHAKATO WA AJIRA ZA TAKUKURU Ndugu wana bodi mapambanono dhidi ya Rushwa ni ya kila mtu kwa nafasi yake katika jamii. Hivi karibuni Taasisi ya kuzuia na kupambana na...
12 Reactions
43 Replies
16K Views
Habari wapendwa. Hivi kwenye interview Kuna swali la uzoefu wako katika kazi hiyo uloomba mfano muhasibu aidha wanakuambia wa mwaka au miaka mi2 swali hili naweza jibu vp ikiwa sijawahi ajiriwa...
0 Reactions
4 Replies
659 Views
Habari wana JF wote, Kwa jina naitwa Adam Ramadhani, Nina umri wa miaka 25 na kwa sasa naishi mkoani Tanga. Nimefanikiwa kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu na kupata shahada ya Uhasibu na...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naomba mnisaidie connection au sehemu ambayo naweza kupata kazi ya malipo ya kiasi cha shilingi elfu tano kwa siku MWANZA MJINI au ILEMELA kama ipo. NB: Wakuu hata kazi ngumu za ujenzi pia...
13 Reactions
73 Replies
5K Views
Kama mtu amewahi kuajiriwa serikalini akafukuzwa kazi au kuacha inakuwa ngumu sana kurudi kuajiriwa serikalini, hii ina lengo zuri la kuwafanya watumishi watulie sehemu moja na wasiache ache kazi...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
RESERVATION ASSISTANT JOB DESCRIPTION We Kibena Africa Safaris and Tours are looking for detail-oriented reservation assistant to assist our customers with their booking needs. You will provide...
1 Reactions
3 Replies
429 Views
Habari wakuu, Anatafutwa mtaalam wa kudevelop mobile application na website. Ikiwa una nia na ujuzi wa kutosha, tafadhali wasiliana nasi. Tunatarajia kusikia kutoka kwako haraka iwezekanavyo...
0 Reactions
0 Replies
304 Views
Habari za muda huu viongozi, nimatumaini yangu kuwa mko fit. Bila kuchelwa najua humu kuna wakuu wa shule mbalimbali, wafanyakazi na n. k, mdogo wangu amekomea form six kielimu kutokana na...
1 Reactions
50 Replies
2K Views
We Kibena Africa Safaris and Tours Limited with offices in Dar Es Salaam are looking for young and energetic Accounts Assistant to manage our daily financial activities. If your reaching below...
1 Reactions
2 Replies
595 Views
Back
Top Bottom