Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Kama kuna mtu amesomea masomo tajwa hapo juu (physics na mathematics), anahitajika kufundisha Shule ya Sekondari Uruwira. Shule ni ya Serikali ipo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi Nb posho 150000...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Vp wakuu, Mimi ni camera man, editor pia graphics designer, pia ni content creator. Ila kwa sasa Sina kazi Kama unahitaji mtu mwenye ujuzi huo Mimi nipo tayari. Au Kama Kuna connection popote...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu wadogo zenu tupo kwenye usaili idara za usalama kipindi hichi. Tunaomba muongozo muliwahi kupita au mpo kwenye idara hizi, tunafahamu kuna undugu kwenye taasisi za usalama lakini hatuchoki...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Samahan naomba kujua kama kuna mawakala wanaoweza kukuunganisha na waajiri nchi za nje au namna mtu anaweza kufanya kazi huko
2 Reactions
47 Replies
7K Views
Utapita kwenye interview stage zaidi ya 4 na utapewa offer, Kisha utaikubali, baada yahapo utapelekwa kwenye vipimo vya afya Yako ikiwa ni pamoja na x-rays ya kifua, mgongo, watakupima HIV...
15 Reactions
51 Replies
3K Views
Kuna miaka kama mitatu hivi nilipitia changamoto na fursa zikawa haziji. Nilikuwa natamani hata kupata kazi ya kulipwa chini ya milioni na haikupatikana. Sasa hivi hata siamini namna miaka mitano...
21 Reactions
5 Replies
703 Views
Habari, Naomba kujuzwa Salary hizi kuanzia PTSS 6 - 9.
0 Reactions
2 Replies
977 Views
Naomba kufahamu maslahi yake yakoje kwa wafanyakazi KUna ndugu yangu kapata kazi Asante.
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Wakuu, hivi ni muda gani kampuni huchukua kukupatia mkataba wa maandishi ili uupitie baada ya kukubaliana kwa maneno?
0 Reactions
11 Replies
528 Views
Wakuu habari poleni na majukumu yenu ya kazi siku ya leo naenda moja kwa moja kwenye mada naomba kujua walifanikiwa kuwa shortlisted leo kufanya usaili uliokuwa unafanyika saa nane mchana wa...
0 Reactions
1 Replies
492 Views
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam anawatangazia uwepo wa ajira ya mkataba kwa nafasi ya Meneja Msimamizi wa Miradi
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za leo wana JF, Mada hapo inahusu mishahara ya kampuni nyingi za ulinzi hapa nchini kwetu ambapo wanaoumia ni walinzi wa chini huku baadhi ya watendaji wa ngazi za juu wakilamba maslahi...
7 Reactions
44 Replies
19K Views
Habarini za muda huu wanajamvi. Niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi bila kuwachoshaa. Inaanza najisogeza taratibu ndani ya mwendokasi(kivukoni-moroco) ili nipate upenyo wa kutoa simu yangu...
1 Reactions
16 Replies
829 Views
Job Opening ID: 226753 Job Network: Internal Security and Safety Job Family: Security Category and Level: Field Service, FS-4 Duty Station: ARUSHA Department/Office: International Residual...
0 Reactions
3 Replies
400 Views
Naitwa isaya mtewele elimu yangu ni kidato cha nne natafuta kazi lakini pia nina uzoefu na usimamizi kwenye vifaa vya ujenzi kwa maana nimefanya kazi ya usimamizi kwenye duka la vifaa vya ujenzi...
2 Reactions
0 Replies
454 Views
Sehemu ya Kwanza: Maelezo Binafsi na Mawasiliano Maelezo ya Kibinafsi: Anza CV yako kwa kujitambulisha kwa jina lako kamili, anwani, namba ya simu, na anwani ya barua pepe. Hakikisha maelezo haya...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Role: Sales Manager – Explorer Department: Central Sales & Reservations Office (CSRO) Reporting to: Business Development Manager – Regional DMC’s & Agents (BDM) Key Responsibilities: Sales...
0 Reactions
2 Replies
355 Views
Position: Housekeeper Reports To: HOD Housekeeping Camp : CCL/LCC/FCC Location: Manyara, vilima vitatu, Babati Duties and responsibilities Provide basic housekeeping duties including changing the...
0 Reactions
2 Replies
211 Views
Position: Manager- Public Sector Consulting Duty Station: Tanzania with a focus on the entire East Africa region, traveling within and beyond the region is anticipated Essential Duties and...
0 Reactions
2 Replies
231 Views
Back
Top Bottom