Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari zenu wakuu Leo nimeona niwaletee Uzi huu kwa vijana wanaotaka kwenda kufanya kazi ulaya na kuishi huko has a nchi za EU,Norway,swirzland nk Njia rahisi na nyepesi ya kwenda ulaya ni hii...
6 Reactions
11 Replies
8K Views
Name: DAVID NDILE Education Level: BACHELOR OF EDUCATION IN SCIENCE (chemistry) WITH ICT Location: KITUNDA DAR ES SALAAM Nafundisha Chemistry na Computer.
0 Reactions
1 Replies
320 Views
Naombeni msaada kama kuna mtu anayefahamu online tests(Aptitude test) za hii nafasi ya kazi DSLAM | Migration Program Officer & Temporary Resident Program Analyst - participants in the Locally...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shule: Ubungo modern secondary school Mahali:Ubungo maziwa Mawasiliano: +255692300612 Awe mkazi wa Dar es Salaam, fika shuleni ukiwa na barua ya maombi, ambatanisha na CV, Awe tayari kufanya...
3 Reactions
3 Replies
625 Views
TANGAZO: KAMPUNI YA UPSCALE SHOP, ILIYOPO MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM, TUNATANGAZA NAFASI YA KAZI YA 'MARKETING OFFICER' KATIKA OFISI ZETU ZILIZOPO MIKOCHENI KWA MWALIMU NYERERE, DAR ES...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini wakuu. Naomba kuuliza. Je Ajira Kwa kada ya ualimu mwaka 2024 zimeshatangazwa?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa wale wanaofahamu ni muda gani mtu aliyeomba uhamisho kutoka wizara moja kwenda nyingine hujibiwa. Na ni namna gani mtumishi anaweza kupata taarifa za maendeleo ya taarifa ya maombi yake...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimeitiwa interview, wapo pwani kisarawe, naomba taarifa saidizi namna ama njia nyepesi ya kufika, mimi natokea Dar. Kama kuna mdau mwngine kaitwa pia ni vizuri tukifahamiana. Natanguliza shukurani!
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Habar wakuu msaada mwenye kufahamu E-mail Ama Namba za simu ya Petrol station za puma hasa Arusha..
0 Reactions
3 Replies
434 Views
Habari wakuu, Ningependa kujua mishahara ya tutorial assistants kwa vyuo vya umma kama UDSM, Ardhi, UDOM n.k Pia naomba kujua na other benefits (packages) outside basic salary Natanguliza shukrani
4 Reactions
99 Replies
53K Views
Habarini za majukumu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nahitaji kijana muaminifu na mzoefu wa jiko la kuuza chipsi, mishkaki, samaki n.k, kwa hapa Dar es Salaam. Aliye serious...
1 Reactions
3 Replies
528 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30,nina diploma ya manunuzi na ugavi kutoka chuo cha utumishi wa umma. Nina uzoefu wa kutosha kutokana na kufanya kazi sehemu tofauti ikiwemo halmashauri ya...
1 Reactions
0 Replies
692 Views
Hello wana JF, Hivi mtumishi anayehama kutoka Halmashauri kwenda Taasisi nyingine liyopo chini ya Wizara baada ya kuomba nafasi hiyo kupitia AJIRA PORTAL na akaipata, je huyu akienda kuripoti...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
ASANTENI AMESHAPATIKANA Habari tunatafuta mtu mwenye uwezo wa kusoma vizuri kingereza kukielewa. Awe na umri katika ya miaka 18 hadi 25. awe maeneo ya dar es salam. kwa kuanza mshahqra ni Laki...
1 Reactions
6 Replies
586 Views
Habari za weekend. Natafuta Kijana miaka 20-35 mwenye uwezo mkubwa wa ushawishi katika masoko. Sisi tuna kiwanda kidogo na bidhaa zetu zinasambazwa Kwa Pikipiki na Gari ndogo. Malipo ni Kwa njia...
2 Reactions
7 Replies
643 Views
Position: Call Center Agents (15 Posts) Qualifications: - Minimum Diploma Level - Fluent in Swahili & English (writing & speaking) - Sharp Mind & Quick Learner - Flexible to Shift Work -...
2 Reactions
8 Replies
789 Views
Wakuu kuna yoyote anayefahamu mchakato wa usahili wa uhamiaji anijuze nasikia majina yametoka
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Position: Community Development Officer Program: USAID Tumaini Kupitia Vitendo Duty Station: Kigoma or Mpanda Reporting Line: Senior Livelihoods and Rural Finance Officer Key Responsibilities &...
0 Reactions
6 Replies
691 Views
Natumaini mu buheri wa afya wanajukwaa! Baada ya kuhitimu chuo miaka michache iliyopita, nilikuja Kahama mjini mkoa wa Shinyanga kupambana. Miaka inazidi kukatika huu mwaka wa pili sasa lakini...
1 Reactions
1 Replies
404 Views
Habari Watanzania wenzangu! Wakubwa Poleni na majukumu, kijana wenu nimekuja kupitia forum hii kujaribu kutafuta fursa ya kazi au intern ambayo itanisaidia angalau nisikae vijiweni na kuzurura...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom