Kila ninaposikia kuhusu suala la kutangazwa kwa ajira za TAMISEMI hususani katika kada yangu ya ualimu napata furaha, lakini mchakato unapoanza hadi kukamilika na matokeo yanapotolewa najikuta mtu...
1. Wadau habarini, nimeitwa kwenye usaili tangazo la tarehe 11/08/2023
Nimeitwa wakati huo Nina barua ya utumishi ikinitaka niombe ili niweze kupangiwa kazi, Sasa je nikienda na barua yao...
Mimi Niko Morogoro, age 23 mzima niko na mada hapo nawasilisha. Alie na connection ya kazi zifuatazo kwa MORO au DAR naomba
Kupakia na kushusha tofali za cement
Kushusha cement kwenye semi...
Habari wapendwa,
Naomba mwenye connection za migodini kama usafi, office attendant na nyingine kama hizo au mahali pengine popote kama kwenye miradi mbalimbali mimi nitafika. Mimi nina uzoefu na...
Ndugu zangu katika kupambana na maisha kijana mwenzenu hatimaye nimepata IST na nimekamilisha taratibu zote za kuanza kufanya kazi ya Uber na Bolt. Gari ni yangu japo si mpya sana ila bado nzima...
Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali za kada za afya waliowasilisha maombi katika kipindi cha mwezi wa April...
Habari wakuu, naomba msaada angalau tupate ideas kuhusu maswali gani ambayo afisa habari anaulizwa,hasa mliofanya written interview ya utumishi tusaidiane wapendwa
Position: Assistant Accountant
ABA Alliance, on behalf of our esteemed Client and Business Partner in the Manufacturing Industry, we are looking for eligible and qualified candidate to fill the...
Habari zenu wakuu,
Naitwa Hamza natafuta kazi ya ku operate excavator pia nakuwa private driver au kampuni vyote ninaweza nina uzoefu wa muda mrefu naomba connections zenu wakuu
Number angu...
MARKETING OFFICER JOB VACANCY
About EcoAct Tanzania Limited
ECOACT Tanzania Limited is a social enterprise established to address the challenges of post consumer plastic pollution, waste...
Salaaam,
Shemeji yenu amebahatika kuitwa kwenye interview ya Nafasi ya Operation Officer TAA(Mamlaka ya Viwanja vya ndege)
Naombeni msaada kwa possible questions na pia asome nini na nini.
Ni...
Madereva wenzangu, na wamiliki wa vyombo vya moto.
Pamoja na sifa zote nilizo nazo lakini sina kazi ndugu zangu,... Najua kimsaidiacho mtu chake,. Lakini havitonisaidia chochote pasina nguvu...
Moja kwa moja kwenye mada naomba kujua stahiki za mtumishi anapokuwa " UHAMISHO WA MUDA" ambao nafikiri ni siku 90 au 120 kama sijakosea.
Mimi Niko uhamisho wa muda hivyo naomba kujua haki zangu...
Position: Chief of Party (COP)
Reports to: THPS Director of Programs (DoP)
Position Location: Dar es Salaam, Tanzania
Overall Job Function
The Chief of Party (COP) will serve as the primary...
Position: Senior Data Manager
Reports to: VACS Project Director
Position Location: Dar es Salaam, Tanzania
Overall Job Function
Reporting to the VACS Project Director, the VACS senior data...
Position: VACS ICT Data Manager
Reports to: Senior Data Manager
Position Location: Dar es Salaam, Tanzania
Overall Job Function
The VACS ICT Data Manager is responsible to ensure good storage...
Position: Internal Auditor
ABA Alliance, on behalf of our esteemed Client and Business Partner in the Manufacturing Industry, we are looking for eligible and qualified candidate to fill the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.