Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Position: Field Compressor Technician (02 Vacancies) Reporting to: Process Mechanical Foreman Duration: Permanent Location: Kahama, Shinyanga Responsibilities: Ensure safe work practices, i.e...
1 Reactions
0 Replies
269 Views
Position: Technology Governance Specialist Main Responsibilities: lop, review, and update technology-related policies, procedures, and guidelines to reflect best practices and regulatory...
0 Reactions
0 Replies
325 Views
Position: Director of Disaster Recovery Financing Solutions, Inclusive Finance Group Contract Type: Local – Fixed Term Employee (Fixed Term) Key Responsibilities Develop financial inclusion...
0 Reactions
0 Replies
232 Views
Position: Health Volunteer – Medical Doctor Ref: 2023-26 The role Examining and treating patients in both the outpatient and inpatient departments, which includes running scheduled clinics...
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Natafuta kazi ya MIEZI 5 TU ya KUFANYA Elimu ni Degree in Education admistration and management Kuanzia July to December TU. 0757658783
1 Reactions
2 Replies
571 Views
Wana jamvi habarini za muda huu, Wajuzi wa mambo haya naombeni msaada wenu tafadhali. Mimi Proffesional yangu ni AFISA MISITU Daraja-II Katika kupambana kutafuta kazi nimefaulu interview na...
6 Reactions
46 Replies
4K Views
Position: Underground Electrician Location: Geita Gold Mine, Geita Position purpose This position is responsible for all preventative, scheduled and breakdown maintenance on all of the mines...
0 Reactions
1 Replies
401 Views
Mimi ni mwanafunz nilie reseat mtihn wa kidat cha 4 mwaka jana nataman kujua ni vipi nawez kuendelea na kidato cha sita kupitia shule ya serikali? Yote wazazi kushindwa gharama za shule za private...
0 Reactions
2 Replies
444 Views
Baada ya kutoa maoni yangu kwenye Uzi wa Bongotunacheza uitwao " FAIDA nilizo zipata baada ya kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba" nimepokea pms nyingi sana watu wakiniuliza...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu. Nahitaji kufahamu maswali yanayoulizwa pale Utumishi kada ya kilimo hasa kazi za (TARI) kwa wale waliowahi kufanya Usaili (Written) naomba mnifahamishe hapa
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Jamani kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Kuna interview imefanyika eneo x Leo hii ya wa kwenda jkt. Sasa kulingana na sifa za dogo sisi Kama Wana ndugu hatukuweza kuwa na muda wa kusema dogo...
5 Reactions
16 Replies
993 Views
Naitaji kijana wa Salon ya kiume, ipo Tegeta Azania. Kwa mazungumzo zaidi nicheki kwa namba 0768370986.
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Rais Samia Suluhu ametoa kibali cha ajira ya watumishi 600 ambao wataajiriwa katika taasisi mbalimbali zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na utalii. Kuna wakati mtu akienda chuo hataki kabisa...
7 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari za saiz wadau, Hivi ni kweli swala la rushwa lipo wakati wa usaili wa kupata kazi? Yaani kwa mwajiri kwenda kwa mwajiriwa au kutoka kwa mwajiriwa kwenda kwa mwajiri? Mfano wa rushwa izo ni...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mungu, majirani na members nisaidieni. Msinipe hela bali kazi Ni miaka 8 tu toka nihitimu chuo, pinch nayopitia si mchezo utadhani nimekaa miaka 20. Naombeni mnishike mkono nitoke kwenye hali...
14 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari za majukumu wakuu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 ninaishi Dar es salaam, Ninawaomba kwa yeyote anaeweza kunisaidia kupata kazi nitashukiru sana, Nimeambatanisha CV yangu tafadhali...
1 Reactions
11 Replies
678 Views
Habari wakuu, nafanya kazi za kusafisha viwanja, mashamba n.k. Kama una eneo naomba tuwasiliane nikusafishie. Mimi niko Dar.
2 Reactions
36 Replies
2K Views
Habari, Ikiwa kama vijana wasaka ajira au jobless Una maoni gani kupitia mchalato wa ajira unaofanywa ma utumishi wa umma(psrs) Je, una imani nao kwa asilimia ngapi? Kitu gani kifanyike ili...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Haya yakizingatiwa angalau yatasaidia kuboresa mazoezi ya usaili yanayoendeshwa na Utumishi: 1. Katika upande wa mwombaji Waboreshe utoaji wa taarifa kama kuitwa, matokeo, ratiba na mabadiliko...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom