Habari JF.
Naomba kuuliza hivi ukipeleka barua kwa mwajiri wako mfano mkurugenzi wa halmashauri akagoma kuipitisha barua yako, maana nimepeleka lakini ameirudisha bila kusaini wala kuandika...
Nimetuma maombi kwa nafasi zilizotangazwa na saccoss ,email haikwenda Majibu yamekuja kuwa EMAIL ZIMEJAA KWA MPOKEAJI,
Mimi nimetuma Jana,
Mwenzangu alituma siku ya tangazo jioni nae ameambiwa...
Je huu mfumo wa TRA kwa nini hawajaintegrate na mfumo wa NIDA ili kupunguza kupata data ambazo ni tatizo huko mbeleni. Je kwa nini wasingetumia mfumo wa TUME YA AJIRA AMBAO TAYARI UPO.....
Kama...
Job Opportunity: Customs officer II (41 Posts)
Responsibilities
To control imports, export and transit goods.
To carry out documentary verification.
To prepare enquiries and offence files.
To...
KAZI YA KUWEKA GAMES KWENYE PC, PS3 NA PS4 🚨
MFANYAKAZI MWANAUME (MALE ONLY) ANAHITAJIKA
AWE NAVIGEZO VIFUATAVYO:
1. Awe Anaishi maeneo ya riverside, mawasiliano, sinza, mwenge au ubungo ,
2...
Job Title: ICT Officer II (64 Posts)
Responsibilities
To assists in capturing user Customer Requirement Specifications.
To performs systems analysis and design.
To implement software systems...
MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imetangaza nafasi za ajira 524 ili kujaza nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na nafasi 206 za maofisa wasimamizi wa kodi.
Tangazo la TRA limeorodhesha idadi ya...
Nimetumiwa file ,PDF za Kaz za TRA ambazo Wametangaza nafasi mbali mbali ktk ofisi hyo ila Cha ajabu tangazo Hilo halipo katika portal za ajira portal yaan utumishi
Ndio nauliza hapa utaratibu wa...
Tanzania Revenue Authority (TRA) Jobs June 2021, TRA Vacancies 2021, UTUMISHI TRA Jobs 2021
1. POST TITLE: CUSTOMS ASSISTANT II - 7 POST
POST CATEGORY(S): ACCOUNTING AND AUDITING HR &...
Habari za leo?
Mwalimu wa Chekechea ya English Medium (shule ya awali) anahitajika kwenye shule iliyopo Kilapula,Tanga.
Anahitajika mwalimu mwenye taaluma ya ualimu na mzoefu na watoto.
Mwenye...
Hodi na Salamu Members.
Mimi ni kijana wa kiume (27), Elimu yangu ni ya Secondary.
Nimekuja kwenu Kuomba Connection ya Kibarua cha kulipwa kwa siku, Nimeandamwa na msururu wa Madeni ya Kodi na...
Anahitajika matron kwa ajili ya kazi ya kuhudumia wanafunzi ndani ya mji huu wa DSM katika shule, majukumu ya mfanyakazi yatakuwa ni :
01. Kupika
02. Kufua
03. Kupiga pasi
04. Kusafisha mazingira...
Ama kwa kweli kila hatua ina changamoto zake, japo makali ya hizo changamoto yanaweza kutofautiana!!
1. Changamoto moto kwenye hatua ya application:
*Mtandao kusumbua wakati deadline ya...
Sina mengi ila Utumishi kwenye hii Interview ya Compliance Officer mmetuonea. Pepa imepigika Jumamosi, leo matokeo, mchanganuo wa marks hueleweki, watu 33 tu ndio wameitwa oral.
Mnatufanya...
wizara ya afya jana imetangaza kumwaga ajira 8000 na hii ni kutokana na uhaba mkubwa wa watumishi katika hospital za rufaa, kwa hiyo vijana jiandaeni tena kufanya maombi ili mlambe asali
Job Title: Legal Counsel II (12 Posts)
Responsibilities
To identify Court cases which are suitable for settlement out of judicial processes and recommend to the supervisor.
To draft legal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.