Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari zenu ndugu zangu, Nakuja mbele yenu ndugu zangu kuomba kazi/ajira kama nilivyoandika hapo juu.Naomba msaada wenu ndugu zangu. Elimu yangu:- 1. Bachelor of Arts in Microfinance and...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari wana JF Naomba mnishauri maana nmekwama. Jinsia yangu ni KE nina Degree ya Horticulture ni mambo ya kilimo cha mbogamboga, matunda, maua n.k Sasa nmemaliza chuo yapata miaka mi5 sasa na...
9 Reactions
55 Replies
4K Views
Habari Wakuu, Nina uhitaji wa Fundi mzuri na mwenye uzoefu anayezijulia Hydraulic vizuri hasa upande wa pump. Nipo Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
424 Views
Nnnnnn
2 Reactions
0 Replies
425 Views
Job Title: Senior Analyst-Margin Accounting Duty Station: Dar Es Salaam Job Details The key purpose of the Senior Analyst – Margin accounting is to ensure completeness and accuracy of books of...
0 Reactions
0 Replies
343 Views
Job Title: Business Analyst Duty Station: Dar Es Salaam Job Description Prospecting of potential customers and negotiating contracts. Control over the term and condition of sales as specified in...
0 Reactions
2 Replies
423 Views
Job Title: Senior Sales Engineer Duty Station: Dar Es Salaam Job Description Prospecting of potential customers and negotiating contracts. Control over the term and condition of sales as...
0 Reactions
1 Replies
370 Views
Habari yenu wakuu, inawezekana mimi sijui utaratibu ulivyo lakini leo naomba ambaye anajua anieleweshe maana imeshanitokea kama mara mbili hivi katika harakati zangu za kusaka ajira. Yaani...
3 Reactions
5 Replies
830 Views
Kila nafasi ya ajira inayotangazwa mm naomba, lakini hawaniiti hata kwenye interview. Je, nina Gundu au nimerogwa au Mungu hataki niende kwenye mishahara minono?
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Habari Wapendwa, Nitangulize Shukrani kwenu kwa kuamini Busara na uelevu wenu wa kuchanganua na kusaidia Mambo mbalimbali. Hivyo naomba Mnisaidie. Naitwa "Chilala Mlaponi" naishi Dar es salaam...
1 Reactions
2 Replies
547 Views
Hello Team, Happy Holidays and nice to e-meet you! I know that you are experts on video editing. Therefore I'm writing to ask you if you can work in Fusion/Davinci Resolve, we have a client who...
0 Reactions
4 Replies
682 Views
Habari zenu, Naitwa Mary Emanuel Sumari ninaishi Mwanza na nmemaliza chuo kikuu cha SAUT Mwanza 2021 fani ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma. Nina uhitaji wa kazi yoyote halali. Kwa...
0 Reactions
3 Replies
389 Views
Hi, Naomba msaada anaefanya kazi halmashauri yoyote hapa dar anae weza nisaidia nikapata nafasi ya kazi yaani kujitolea nijishikize tu. Nimechoka haya maisha hamuwezi amini najua ila ukweli ni...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni kazi zipi zina mishahara mikubwa hapa Tanzania?
3 Reactions
46 Replies
5K Views
Habari za Asubuhi watu wa MUNGU Naomba kwa aliye kwenye Mchongo wa kazi ambao ni rahisi kuingiza Kibarua mwengine, Tafadhali naomba anivute huko. Niko kwenye kipindi kigumu ever. NB: KAZI...
3 Reactions
11 Replies
545 Views
Nina umri wa miaka 20 mkazi wa Dar es Salaam ninatafuta kazi kati ya hizo tajwa hapo juu na uzoefu wa kuendesha magari wa miaka 2 pia nakazi za nyumbani. Elimu yangu ni form four level pia na...
1 Reactions
1 Replies
915 Views
Habari wanajamii, Mimi ni kijana mwenye shahada ya uhandisi mitambo (Bsc in Mechanical Engineering) naishi Dsm. Jinsia ME, Kwasasa sina kazi yoyote, hivyo kama kijana mwenzenu nnaetafuta...
3 Reactions
3 Replies
959 Views
Isije ikawa ni athari ya biashara kariakoo kufungwa! Si mnajua serikali huwa haina ujanja mwingine zaidi ya kodo?
4 Reactions
3 Replies
608 Views
Natafuta kazi ya kuuza duka la vifaa vya ujenzi nipo Kahama. Namba yangu ni 0719686691.
0 Reactions
0 Replies
945 Views
Habari! Chills Logistics Company Ltd tunakuletea fursa ya kazi kwa madereva wote Sifa: 1. Uwe na leseni hai 2. Uwepo Dar es salaam 3. Uwe na uzoefu wa miaka 3 na kuendelea 4. Uwezo wa kufanya kazi...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom