Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Tofauti na zamani kwenye matangazo ya kazi mbali mbali hivi karibuni serikalini kumekuwa na uhuru wa watumishi kuomba hizo kazi ila kigezo kimojawapo ni kutakiwa kupitisha barua ya maomba kwa...
9 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu wangu! Eti, hivi salary ya Assistant lecturer huwa ni sh.Ngapi? Je,huwa kuna utofauti kwa private universities vs public universities kwa hiyo salary? And what about other...
1 Reactions
67 Replies
36K Views
Habari ndugu zangu, naomba msaada wa maswali ya written yaliyowahii kuulizwa kwenye USAHILI wa shirika la relii Tanzania kada ya civil engineering technician utumishi.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1. Hello!, 1. Dear Team, I'm seeking for someone with 2-4 years experience in a hot kitchen as well as bakery. Please send me your CV at thomalbert91@gmail.com if you have the right...
0 Reactions
1 Replies
365 Views
Nipo Kahama natafuta kazi ya kuuza duka katika nyanja hizo.
1 Reactions
1 Replies
418 Views
Wakuu vipi hali? Nikiwa siti ya pili toka nyuma kwenye basi nikitafakari na kupitiwa na usingizi namna nilivyokosa maksi 3 niingie oral kwenye written ya utumishi pale CIVE(AUDITORIUM). Mara...
23 Reactions
50 Replies
22K Views
Njoo Dar ujifunze maisha. Kisha rudi mkoa. Chunguza machine itakayokufaa kwa fani uliyonayo Baada ya miaka 2 chunguza rudi tena mkoa ukiwa na mashine mpya. Sasa anza kutoa bidhaa kupeleka...
0 Reactions
8 Replies
503 Views
Waungwana habari za majukumu. Naitwa Saidi natokea maeneo ya pugu wilaya ya ilala mtaa wa bombani mkoa wa Da es Salaam. Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari aina ya Noah naitaji kwa...
1 Reactions
4 Replies
654 Views
Kwa wale ambao wapo shortlisted written na WCF tujuane jamani pia tupeane madini. Nawasilisha kwenu wakuu.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Niende kwenye mada moja kwa moja Mimi ni mwalimu kiwango cha elimu ni diploma katika masomo ya PHYSICS na BIOLOGY. Baada ya misukosuko ya ualimu ikiwa ni pamoja na kupigwa na maisha vizuri tu...
16 Reactions
200 Replies
17K Views
Habari wanajamii forums. Kwa wakazi wa Arusha mjini na maeneo ya jirani, Mwenye kufahamu au connection jinsi ya kupata kazi za viwandan iwe kibarua au ajira ya kudumu. Ni viwanda vipi vinatoa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natumai sote tuna taarifa BUNGE letu lilitangaza nafasi za kazi hivi karibuni. Naomba kufahamu kama kuna yeyote aliyefanikiwa kutuma maombi ya nafasi ya mwandiishi wa taarifa rasmi za bunge.
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Habarini wana JF Msaada wa maswali wanayoulizaga kwnye written interview ya utumishi..nmesoma business administration naenda fanya interview ya compliance officer WCF
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari, Jamani naombeni msaada katika hili Kuna kazi za muandishi wa taalifa rasmi za bunge Kwa sisi wenye shahada ya Human resource management ilikubali kuomba ila majibu baada ya kutoka Ni...
0 Reactions
8 Replies
572 Views
Wadau msaada kwa mwenye kufahamu namna maswali yanavyokua kwa kada tajwa hapo juu? Natanguliza shukrani.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habitat for Humanity International (HFHI) is looking for a compelling, transformative, National Director (ND) to lead the National Organization (NO) in fulfilling its critical, complex role as a...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
VACANCY ANNOUNCEMENT (Immediate Recruitment) Background The National Council of People Living with HIV (NACOPHA) is a national Non-Governmental Organization responsible for coordinating efforts...
0 Reactions
0 Replies
392 Views
With over 70 years of experience, our focus is on helping the most vulnerable children overcome poverty and experience fullness of life. We help children of all backgrounds, even in the most...
0 Reactions
0 Replies
556 Views
Salama wakuu. Kuna jamaa yangu ameitwa kwenye iinterview TEITI nafasii ya executive, kwenye kuandika. Ategemee maswali gani?
1 Reactions
1 Replies
373 Views
Unajua asilimia 90% ya madereva wa Uber na Bolt husababisha hasara na uharibifu wa magari.... •Je Dereva wako msumbufu kwenye kuleta hesabu? •Je hauna muda wa kusimamia service ya Gari yako...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom