EMPLOYMENT OPPORTUNITY
East African Community (EAC) – the European Union (EU) CORE programme is financed under the 11th European Development Fund (EDF) and has an overall objective to support the...
Resettlement Assistant
Kigoma
UNHCR
The UN Refugee Agency
Organizational Setting and Work Relationships
A Resettlement Assistant position is typically located at Multi-Country Office, Branch...
Natafuta alosoma degree ya procurement (watu wawili) diploma ya secretary,na degree ya uhasibu mkoa wa Ruvuma ni pm chap!!!!!!."Tusome vizuri nilichokiandika.....mnao ni pm tuzingatie mkoa tajwa...
Mtanisamehe uzi hauna picha.
Nikiwa hapa hotelini Kampala nilipigiwa simu asubuhi na mapema kuwa mtoto wa shangazi yangu jina kapuni kapata kazi nchini India japo ni kazi za ndani ila wanampa...
Recruitment portal ya sekretariet ya ajira inasema sina qualification za kua-apply vacancy huku kila kitu kiko sawa na nilisha-apply vacancy zingine hapo awali. Kuna mtu anakumbana na hii adha...
Nasikia kuwa utumishi hawawezi kuita watu Usaili Dodoma kwa kada yoyote Ile mpaka sensa iishe, yaani watu waendelee kusubiri hadi kuanzia mwezi September huko na kuendelea (kwamba wanahisi...
Habari ndugu zangu.
Mimi ni kijana (ME) nina umri wa miaka 20. Ninaishi mkoa wa Arusha. Nina shida sana hali ngumu ya maisha Hadi naanza kuta tamaa . Nimeona niweke wazi tu huenda kuna mtu humu...
LAKE ALUMINIUM TRAILER LTD
LOCATION: Kibaha Pwani
We are urgently recruiting the following positions:
1. Fitter Technician (lathing, milling, sawing, drilling). Post 1
2. Fitter Technician...
Habari ya muda huu wakuu,
Niko mbele yenu muda huu kuomba msaada wa kupata kazi yoyote halali.
Nina shahada ya uuguzi( BSc Nursing) nina uzoefu wa kufanya kazi wodini na kwenye miradi hivyo...
Job #:
req16582
Organization:
World Bank
Sector:
General Services
Grade:
GF
Term Duration:
3 years 0 months
Recruitment Type:
Local Recruitment
Location:
Dar es Salaam, Tanzania...
Habari,
Wadau naomba kuuliza hivi hawa Wakala wa Viwanja vya Ndege - TAA wameshaita watu waliochaguliwa kwa ajili ya usaili?
Maana tokea nilivyoomba hamna updte yoyote ile mwezi wa pili sasa huu
ALERT 🚨 🚨 🚨
Huko katika kata ya kitulo mkoani njombe aliyekuwa mwenyekiti wa usahili Agizo chapel tweve ambaye ni mwl.mkuu kampitisha mke wake Vailet sanga nawakinga wenzao naanajisifia hawez...
Habarini wakuu!
Mimi ni kijana wa miaka 24 ,Naishi Mtwara kwa sasa.Ni kiziwi nilipata hili tatizo nikiwa darasa la pili mwaka 2003.
Nasikia na kuzungumza na mtu vizuri tukiwa jirani...
Me nikajana ambaye nmemaliza chuo cha maji na ninauzoefu mzuri wa kufunga maji majumbani na kufanya tasmin ya uhataji wa mabomba na michoro ya nyumba yako pia ninafanya marekebisho madogo madogo...
Habari wadau!
Mimi ni kijana, nina umri wa miaka 26 ni mhitimu wa shahada kwenye kada ya logistics na usafirishaji mwaka 2019 kutoka chuo cha Taifa cha Usafirishaji.
Nimejaribu kutafuta kazi...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 natafuta kazi yoyote ile nina elimu ya kidato cha sita wenye ufaulu mkubwa. Nilikua nasoma chuo ila nikasimamisha mwaka 2019 kutokana na hali ya kifedha...
Wakuu, mtaani mambo magumu najaribu kupambana ila bado hali si hali. Kwa hiyo naomba kwa yeyote mwenye connection ya kazi yoyote kwa Dodoma au Dar es salaam anisaidie.
Elimu na ujuzi wa ziada ni...
Supervisory Telephone Technician
Dar es Salaam
US Embassy Dar es Salaam
The mission of the United States Embassy is to advance the interests of the United States, and to serve and protect U.S...
4 Land Surveyors
Morogoro, Dar es Salaam
JVACEE, Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP)
In joint venture with The Arab Contractors of Egypt (Osman A. Osman & Co.), ELSEWEDY ELECTRIC is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.