Habari watafutaji wa jukwaa naomba kufahamu kama kuna mtu anafahamu taasisi au kampuni inayohusika katika kutoa semina za mafunzo kazini za wafanyakazi wa ma bank kama, tellers, wahasibu...
Mafundi ujenzi, plumbers, carpenters wenye uzoefu wanahitajika.
Wawe wenye kuijua kazi zao na kuweza kusimamia wengine wasio na uzoefu. Wakiweza kufundisha itakuwa ni plus.
Location yetu ni...
Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa kiume na ninaishi Dar es Salaam, nina Degree ya kwanza katika IT (Bachelor Of Science in Information Technology).
Natafuta kazi katika field zifuatazo, IT...
PSRS ndio chombo kilichopewa dhamana ya kusimamia michakato ya ajira lakini kama sio kuelemewa basi itakua wana changamoto ambayo ni vyema waiweke wazi,mchakato wa ajira siku hizi umeanza kuchukua...
POST DIRECTOR OF ICT AND STATISTICS – 1 POST
EMPLOYER Medical Stores Department (MSD)
APPLICATION TIMELINE: 2022-07-30 2022-08-12
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To advise the...
POST PLANNING, MONITORING AND EVALUATION MANAGER – 1 POST
EMPLOYER Medical Stores Department (MSD)
APPLICATION TIMELINE: 2022-07-30 2022-08-12
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To...
POST DIRECTOR OF PROCUREMENT – 1 POST
EMPLOYER Medical Stores Department (MSD)
APPLICATION TIMELINE: 2022-07-30 2022-08-12
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To ensure timely...
POST HEAD OF LEGAL SERVICES – 1 POST
EMPLOYER Medical Stores Department (MSD)
APPLICATION TIMELINE: 2022-07-30 2022-08-12
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To control, manage, and...
TPC Ltd is one of the fast-growing sugar producing companies in Tanzania. The company is situated at the foot of Mount Kilimanjaro, 22kms south of Moshi Municipality. Applications are invited from...
Habari,
Samahani kwa usumbufu.kwa majina naitwa Mussa Thomas ni mhitimu wa chuo cha Bandari college course ya Freight clearing forwarding and port management ngazi ya certificate nilikuwa naombi...
Wakuu,salaam,.
Hii ya kuhesabu sensa nasikia Ina hela ya kusogeza maisha.
Natamani kujua ni kama Tsh. ngapi kwa kazi nzima ili nichangamkie au nipotezee.
Hela naitamani ila ndio sijajua kama hii...
Kama kichwa Cha habari kisemavyo Kuna projects nafanya inahusika na biological database, natafuta mtu aliyesoma computer science na anakaa Dar asiwe na kazi sababu mda mwingi atakua kwenye hii...
Naomba kuulizxa kwa range yamsihshara kwa maafisa afya, mazingia au maafisa jamii wanaoajiliwa migoding range yasalary ni sha ngapi?
Je, kunamalulupu gani ya ziada?
Je, maisha ya kufanya kazi...
Habari
Tumefungua ofisi mpya nahitaji mtu ambae ana uzoefu/uwezo mkubwa kwenye computer softwares na hardware kiasi chake sababu nimefungua ofisi na inahitaji mtu wa kuisimamia na kupiga kazi...
Kuna watu walitaka kupunguzia ugumu wa maisha kupitia vijisenti vya zoezi la sensa la 2022. Baada ya kukosa nafasi hizo wanakuja na ngonjera kuwa waliochaguliwa kuendesha hili zoezi hawana sifa na...
ROLE SUMMARY
The role holder will drive forward and deliver outcome-focused digital and systems change across the organisation. The Delivery Manager will lead on the delivery of all digital...
CAMP AND FACILITIES ADMINISTRATOR-NGARA
Position Summary:
Tembo Nickel is seeking to recruit a Camp and Facilities Administrator to join the Tembo Nickel Project Team.
This is a Fixed Term...
FABEC Investment Limited is the Sub Contractor for WASCO ISOAF TZ LTD in the EAST AFRICA CRUDE OIL Project (EACOP) contracted to build the coating plant in EACOP coating yard in Tabora region...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.