Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wakuu habari zenu,naomba mwenye mwongozo wa kurenew cheti ERB .mie ni Graduate Engineer..cheti nilipewa 2018 kimeexpire 2021
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Siku moja nikiwa katika kibarua cha kuwasaidia mafundi ujenzi kazi ndogo ndogo mfano kuchanganya cement na mchanga, kuchota maji, kusogeza tofali n.k (hata kama hatuna kazi ya proffesional...
14 Reactions
9 Replies
1K Views
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro anapenda kuwajulisha walioomba ajira za kazi za muda za Karani wa Sensa, Msimamizi wa Maudhui na Msimamizi wa TEHAMA kupitia tangazo la kazi la 05...
1 Reactions
8 Replies
7K Views
July 2022 Songwe, Tunduma MBUNGE WA WANANCHI WA TUNDUMA MHE FRANK MWAKAJOKA AKIZUNGUMZIA MCHAKATO WA KATIBA MPYA
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Inasikitisha unamwambia mtu aombe nafasi ya Usimamizi wa maudhui, unarudisha jina ili afanye usaili! Mhusika anachoma nauli kwenda kufanya usaili halafu wote waliofanya usaili kwenye kipengele...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Swali: Je upo tayari kushiriki semina ya sensa ya watu na makazi itakayoanza tarehe 29 July hadi tarehe 15 September? A: Ndio B: Hapana ndugu zangu hivi hili swali lilikuwa linataka nini. semina...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Kutokana na makundi ya vijana yanayokusanyika Mkoa wa Dodoma kuudhuria usaili kwenye TUME YA UTUMISHI WA UMMA, Serikali umeamua baada ya bajeti kupita Tume iandae mpango usaili uweze kufanyika...
13 Reactions
95 Replies
9K Views
Wakuu habari. Mimi ni kijana wa kitanzania, jinsia ME nimekuja hapa kwa nia ya kuomba nafasi kwa Internship kwenye NGO, Kampuni au sehemu yoyote watakao ona nafaa. Elimu : Nina Degree ya Sheria...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Job Overview Deputy & Sustainability Lead CVPeople Tanzania | Full time Kilimanjaro, Tanzania Responsibilities Overseeing all aspects of plantation management, particularly in regards to the...
0 Reactions
1 Replies
455 Views
Habari zenu members hamjambo, Nahitaji msaada anaefahamu website zinazotangaza nafasi za ajira porini kwenye mahotel au anaejua jinsi ya kuapply kazi huko kwenye camps au hotel please anisaidie...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Vacancy: Specialist in Obstetrics & Gynaecology Ref: 2022-34 The story Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the leading provider of accessible specialized...
1 Reactions
0 Replies
327 Views
Vacancy: Medical Doctor(s) with Experience in Obstetrics & Gynaecology Ref: 2022-37 Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the leading provider of accessible...
0 Reactions
0 Replies
349 Views
POST AGRICULTURAL TUTOR II – ENGINEERING – 5 POST EMPLOYER Wizara ya Kilimo APPLICATION TIMELINE: 2022-07-23 2022-08-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To read and understand the...
0 Reactions
0 Replies
538 Views
POST AGRICULTURAL TUTOR II – COMMUNICATION SKILLS – 5 POST EMPLOYER Wizara ya Kilimo APPLICATION TIMELINE: 2022-07-23 2022-08-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To read and...
0 Reactions
0 Replies
492 Views
POST AGRICULTURAL TUTOR II – COMPUTER SCIENCE – 5 POST EMPLOYER Wizara ya Kilimo APPLICATION TIMELINE: 2022-07-23 2022-08-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To read and understand...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
POST AGRICULTURAL TUTOR II – FOOD SCIENCE – 5 POST EMPLOYER Wizara ya Kilimo APPLICATION TIMELINE: 2022-07-23 2022-08-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To read and understand the...
0 Reactions
0 Replies
406 Views
Wakuu kama mnavyofahamu kuwa usaili wa kazi ya sensa ya watu na makazi mwaka huu 2022 umefanyika nchi nzima wiki iliyopita hadi ijumaa tar 22 July 2022. Kwa baadhi ya maeneo majibu yalikuwa...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakubwa shikamooni, vijana wenzangu mambo vipi? Madogo hamjambo? Twende moja kwa moja kwenye topic, ktk maisha yetu kuna marafiki zetu ambao tuliachana nao tukiwa shule na hatujaonana kwa kipindi...
8 Reactions
7 Replies
564 Views
EAST AFRICAN COMMUNITY JOB APPLICATION FORMAT ------------------------------------------------------------------------------------------------------------ POST: 1. PERSONAL DATA Name Contact...
4 Reactions
9 Replies
5K Views
Back
Top Bottom