Anatafutwa mtengeneza kucha.Atakuja siku nne za mwisho wa week tu. Siku nyingine akafanye issues zake.Kwa maana kwamba atafanya kazi siku 16 tu za mwezi. Mshahara atachagua alipweje.
1. 200,000...
Ni wiki moja tu imesalia kuanzia kuajiriwa na serikali ili nikamilishe mwezi mzima....,kutokea Kagera hadi lindi kwenye ajira yenyewe nilitumia nauli yangu almost 150k jumlisha na familia zaidi ya...
Hi guys, naomba mwenye sample ya CV nzuri anisaidie. Nachohitaji ni ile format/template nzuri nimejaribu kugoogle ila sipati kile kitu nahitaji.
Unaweza nitumia kwa email
stevhinoz@gmail.com
ShIKAMONI
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nina hishi na ndugu yangu ni yatima mwaka 2015 ni mwaka nilio poteza wapendwa wangu
Mpaka kufika hapa nimepitia mengi ya kuniumiza kila...
naweza kusema kuwa miongoni mwa watu waliochaguliwa tra kwa nafasi ya custom officer ii is like dreams come true kwa sababu toka nikiwa mdogo mawazo yangu yalikua ni kufanya kazi sehemu tano tu...
Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.
Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview...
Anatafutwa mtengeneza kucha.Atakuja siku nne za mwisho wa week tu. Siku nyingine akafanye issues zake.Kwa maana kwamba atafanya kazi siku 16 tu za mwezi. Mshahara atachagua alipweje.
1. 200,000...
Mimi nina ajira ila naona nilifanya makosa makubwa sana kuomba hizi nafasi maana vijana wengi wa nategemea hii Kazi kupata mtaji wengine waoe wengine walipe Ada na mambo mengine pia.
Hivyo siku...
Ofisi ya Rais - TAMISEMI inawatangazia wananchi wote raia wa Tanzania wenye uwezo na sifa za kujaza nafasi za ajira za Kada za Afya 746 kwa ajili ya Hospitali za Halmashauri, Vituo vya Afya na...
Hauwezi tangaza nafasi ujatoa vigezo watu wakaomba siku ya majibu ndio utoe vigezo huo ni uhuni waiteni hao watu wakafanye usaili nafasi za UKARANI kwa sababu usaili upo ngazi ya kata na form zao...
Mimi ni kijana wa miaka 28, ninauzoefu wa miaka minne katka masuala ya stores na elimu yangu ni Diploma ya Procurement and supply management, msaada jaman mwenye connection.
Nipo mkoa wa kilimanjaro , kata niliyoombea nafasi ya ukarani wa sensa , yaani people zilikuwa ni 400+ plus sasa kwa idadi hiyo inanifikirisha kuwa nafasi ya kuchaguliwa ni finyu, mie na...
Wakuu nisiwachoshe sana.
Najua mnajua kuwa mkeka wa majina ya waliochaguliwa kuingia kwenye interview (usaili) wa zoezi la sensa upo hewani.
Sasa naombeni mwenye mkeka wa Temeke DAR aulete.
Kiukweli wakuu, mimi ni mmoja wa watu ambao kwa sasa nazipigania hizi ajira za u tutorial assistant kwa kiu kubwa sana.
Ni kwamba nipo kwenye private sector lakini ki uhalisia kabisa baada ya...
Tunatoa huduma nyingi kulingana pia na uhitaji wa mtejaa katika upande wa usafii
Pia tunauza dawa za kusafishia nyumba yako masofa ,masink ,tiles, majiko vyombo na vingine vyote .
Tumesajiliwa...
Habari za muda wakuu,
Mimi ni muhitimu wa diploma katika kada ya INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY (ICT) ni mwenyeji wa NJOMBE.
Kiukweli tangu nmalize chuo mwaka Jana nilirud home...
Usitegemee kupata koneksheni wakati unaenda kutembelea maeneo ambayo serengeti laiti inauzwa shilingi 1500; maeneo hayo, wote wanatafuta koneksheni, kwa hiyo usitegemee kupata koneksheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.