Waajiri wengi wanatumia video conference kama njia ya kufanya initial pre-screening interviews, na vilevile hutumika kwa watu walio mbali na eneo husika.
Njia hii ni tofauti kidogo na njia ya...
Mimi Nilihitimu Chuo 2015 Kada ya ELIMU baada ya Changamoto ya Ajira kuwa kubwa nililazimika kujiajiri Kuuza duka la Chakula hapa Dar es salaam.
Nimebahatika kupata Nyumba (Kibanda) lakini...
Hello marafiki wa JF Naitwa EMMY WILLIAM ni na miaka 26 nina elimu ya certificate in IT (imformation and communication technology) nna uzoefu wa kazi mbili tofaut kazi ya cashier nlishafanya royal...
Habarini wapendwa mimi ni bint mtanzania wa miaka 23, nimesoma pharmaceutical science miaka miwili pia nimefanya kazi ya sales and marketing katika kampuni ya East Africa Fruits kwa muda wa miezi...
Aisee kama hupati muda wa kureview kutoboa written ya utumishi na halmashauri itakuwa ndoto. maswali magumu alafu unapewa dk 45, nmeyasoma nimeishia kuopaa njaa. Kwa wale fresher inawawia urahisi...
Mgahawa uliyopo kinondoni Dar es salaam unatangaza nafasi za wahudumu.
VIGEZO
★Awe MSICHANA
★umri 18 -27
★Mkazi wa Dar es salaam
★Mchapakazi na mvumilivu
★Elimu kidato cha nne na kuendelea...
Position Summary:
Tembo Nickel is seeking to recruit Community Relations Lead for RAP Social Safeguards to join Tembo Nickel Project Team. We are looking for a driven and proactive implementer...
Naitwa Mustapha Rajabu. Nina umri wa miaka 28 naishia Dar Es Salaam maeneo ya Tabata Bima. Ninao uzoefu wa kutosha kwa kazi hiyo, nimefanya kazi ya stationery kwa zaidi ya miaka 5 hivyo ninao...
Chuo kilichopo jijini Mwanza kinatafuta mwalimu wa kufundisha program za microsoft office suit .
Awe anajua angalau software mbili kati ya hizi, Microsoft Word, Microsoft Excel, Microsoft...
Habari za leo wanajamiiforums.
Naomba mwenye connection ya kibarua chochote cha malipo ya siku kwa Dodoma aniunganishe.
Nitatoa shilingi elfu kumi(10,000) kama shukrani.
Naweza kuwa kondakta wa...
Wakuu habari,
Samahani kwa wanaolifahamu hili jambo la mshahara wa broadcast technician ni kiasi gani?
Na je, broadcast technician anakuwa anafanya mambo yapi haswaa?
About Tembo Nickel Corporation
Tembo Nickel Corporation (“Tembo”) is an operating company formed via the Framework Agreement (19 January 2021) between Kabanga Nickel Limited and the Government of...
Jobs in Tanzania 2022: New Job Vacancies at Impala Terminals Tanzania, 2022
Position: Finance Officer
Full Time
Main Purpose
The Primary function of this role is to support the Finance Manager...
Jobs in Tanzania 2022: New Job Vacancies at Innovations for Poverty Action (IPA) 2022
Associate Research Manager / Research Manager
Overview
Reports to Country Director
Deadline to apply...
Sales Manager – Tanzania
Dar es Salaam
Computech Limited
East Africa’s Leading IT Systems Integrator since 1987 with numerous accolades from different industries in Africa.
The ideal candidate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.