Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Reports to: Registrar Directorate: Registry of the African Court Number of Direct Reports: 1 Number of Indirect Reports: 0 Contract type: Regular Job Grade: P3 Location: Arusha, Tanzania Purpose...
1 Reactions
1 Replies
451 Views
1) Motor Grader Operators —- 10 positions 2) Excavator Operators ——– 20 Positions 3) Bull Dozer Operators ——– 03 Positions 4) Pipe Fitters ——————- 04 Positions 5) Supervisor Piping ———– 01...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimejaribu kupitia maoni mbalimbali ya wadau mbalimbali kuhusu ajira za sensa na zaidi maoni yao wengi yamejikita katika hofu walinayo juu ya mwisho mbaya unakaoenda kutokea ikiwa zoezi hili...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani nimepangwa hospitali ya rufaa ya mkoa Katavi. Naomba kujua mazingira ya hii hospitali yakoje? Je ni mpya au?
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Nahitaji kujua haki za vibarua wadogo haswa viwandani mwenye upeo kidogo anipunguzie tafadhali
0 Reactions
2 Replies
703 Views
Watu wengi wanapendelea watoto wao waje kufanya kazi ambazo wao wanafanya . Lakini miaka inayokuja baadhi ya ajira zitakuwa hazipo tena badala zitafanywa na maroboti au mashine. Hizi ni baadhi ya...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
PHYSIOTHERAPIST OFFICERS II – 2 POST EMPLOYER Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-09 2022-07-22 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To contribute...
0 Reactions
0 Replies
377 Views
POST ASSISTANT NURSING OFFICER II – 10 POST EMPLOYER Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-09 2022-07-22 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To assess...
0 Reactions
0 Replies
453 Views
MEDICAL SPECIALIST II – 12 POST EMPLOYER Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-09 2022-07-22 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To provide routine...
0 Reactions
0 Replies
417 Views
POST MEDICAL OFFICER II – 8 POST EMPLOYER Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-09 2022-07-22 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To perform Medical...
0 Reactions
0 Replies
409 Views
POST HEALTH LABORATORY TECHNOLOGIST II – 4 POST EMPLOYER Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-09 2022-07-22 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To...
0 Reactions
0 Replies
496 Views
Hello marafiki wa JF Naitwa EMMY WILLIAM ni na miaka 26 nina elimu ya certificate in IT (imformation and communication technology) nna uzoefu wa kazi mbili tofaut kazi ya cashier nlishafanya...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
'Nilitamani ningeyajua haya kabla ya Kuomba ajira kwenye mradi wa "Bwawa la Nyerere" chini ya kampuni ya JV Arab Contractor & Elsewedy Electric' Kama ilivyo kwa vijana wengi wa kitanzania, katika...
9 Reactions
21 Replies
3K Views
AJIRA PORTAL NINA ACADEMIC QUALIFICATIONS ZINAZOKIZI LAKINI KILA NIKI APPLY NAAMBIWA FAILED? Mwenye uzoefu naomba anisaidie Kama Ni professional qualifications pia naomba kujua kwa watu wa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna hizi kazi za tenda wanatangaza sana halmashauri, ya kufanya usafi na kuzoa taka ngumu na kwenda kutupa dampo. Kazi hii kiuhalisia sio ngumu lakini ugumu unakuja kwenye malipo yaani wanataka...
1 Reactions
4 Replies
901 Views
Tunatafuta watu wenye uzoefu katika kutengeneza beats, kucheza solo guitar na bass, tutafanya kazi katika studio yetu kubwa iliyoko Mbuyuni Salasala. Kama kuna mtu unamfahamu ni-PM au 0621 014 638
3 Reactions
9 Replies
687 Views
Wakuu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+, elimu yangu ni Diploma Naomba connection ya ajira, kibarua popote pale. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
493 Views
Naomba msaada kwa wanaotumia huu mfumo wa kuomba ajira za serikarin. Mara kadhaa sasa Kila nikifanya application inafail nandikiwa. "Sorry! You can not apply for the job post, kindly Check...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Tunahitaji kumhesabu kila mtu atakayelala kwenye mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania usiku wa kuamkia Siku ya Sensa tarehe 23 Agosti, 2022 bila kujali utaifa wake, hivyo wananchi wote wa...
1 Reactions
3 Replies
631 Views
Kuna nafasi zaidi ya 1500 za ufundi na uhandisi kwenye Kampuni ya El-sewedy Electric inayojenga Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere Rufiji. Tazama Gazeti la Mwananchi 5 Februari Ukurasa 25. Tuma CV...
1 Reactions
30 Replies
41K Views
Back
Top Bottom