Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wana Jamii Forums, naomba msaada kwa anayejua PGSS 1 ni kiasi gani cha mshahara?
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Masada kwa maombi ya ajira kwa TFS wameweka limiti ya umri miaka 25 kwa upande wangu nina umri wa miaka 26 ila inatimia mpaka 03 NOVEMBER je? naweza omba ajira hii ila Kwa upande WA vigezo vingine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina duka la jumla nahitaji kijana mjuzi wa kuendesha pikipiki kwa ajili ya kusambaza vinjwaji Eneo: Kimara Njoo p.m tujadili Vigezo vya kazi ni nidhamu na kujua kuendesha pikipiki
2 Reactions
10 Replies
2K Views
FHI 360 is a nonprofit human development organization dedicated to improving lives in lasting ways by advancing integrated, locally driven solutions. Our staff include experts in Health...
0 Reactions
0 Replies
410 Views
Mama kaweka mzigo tena.
3 Reactions
52 Replies
5K Views
Wadau habari za jioni, alieajiriwa upya kupitia sekretarieti ya ajira tuwasiliane tafadhali namba yangu 0786601598; Kuna ishu nahitaji nimshirikishe.
0 Reactions
1 Replies
556 Views
Natafuta Wafanyakazi wa ndani House boy na House Girl *Mkataba wa kazi ni Miaka Mitatu *Dar Es Salaam ~Kigamboni Vigezo; Awe na Hofu Ya Mungu Awe Mkristo safi kabisa Awe na Umri wa miaka 18-26...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Eneo la kazi Dar, Tegeta Mshahara elfu 60 Nyumba ya watu wawili Hakuna mtoto. Kwa mawasiliano au kama kuna mtu anaye nicheki pm tafadhali UPDATE: Shukrani kuna mdau humu amenisaidia amepatikana...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
jamanii PGSS 9 na PGSS 10 ni mshahara gani?
1 Reactions
63 Replies
80K Views
Naombeni msaada tafadhali kwa mtu yeyote ambaye anafahamu viwanda vinavyo patikana Moro au Pwani. Pia naomba ikiwezekana mnisaidie na hatua za kufuata ili niweze kupata kazi . Elimu yangu ni form...
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Habari, Umri wangu ni miaka 28. Nimekuja kwenu kuomba ajira au mtu yoyote anayeweza kunisaidia kupata ajira. • Jinsia: Ke • Elimu: Bachelor Degree ya Commerce in finance (BCOM finance) pia nina...
21 Reactions
81 Replies
7K Views
Natafuta kijana wa kiume anayejua kutunza ng'ombe. Awe anajua kukamua maziwa pia Mahali: Bagamoyo Mshahara: 70000 kwa mwezi + atapewa chumba cha kukaa + atapewa chakula. Kama unaitaji nchek...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Description Role purpose: • Manages all digital products and company’s online channels • Proactively work with both IT and CORPS on improving digital customer touch points • Manage...
0 Reactions
1 Replies
561 Views
POST FOREST OFFICER II – 10 POST EMPLOYER Tanzania Forest Services (TFS) Agency APPLICATION TIMELINE: 2022-06-05 2022-06-18 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To supervise planting and management of...
0 Reactions
1 Replies
964 Views
House girl anahitajika, mwajiri na eneo la kazi ni Dar es Salaam. Sifa za aina msichana anaehitajika; ~Awe na tabia nzuri na atokee kwenye familia inayoeleweka ~Awe na umri kuanzia miaka 19 hadi...
2 Reactions
8 Replies
734 Views
Habari,naomba msaada kwenye usahili utumishi wanakubali kupokea loss report ya kitambulisho Cha taifa kilichopotea?wanahitaji uthibitisho Gani Kwa mtu ambaye kapoteza kitambulisho.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu. Natumai mmeamka vyema kabisa, naomba mwenye kufahamu anuani ya Jesuit Refugee Service (JRS) anisaidie niweze kutuma barua ya maombi ya kazi wakuu. Natanguliza shukran kwenu...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kampuni ya ulinzi iliyopo Arusha. Kwa yeyote mwenye kufaham au mmiliki naomba details zako PM.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanadau!! Nimechaguliwa kuitwa kwenye usaili tume ya Utumishi wa Mahakama kada ya ulinzi ambapo usaili unafanyika tarehe 17/05/2022,Sijawahi fanya usaili wa Mahakama kada ya ulinzi naomba...
4 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom