Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habarini za wakati huu. Kama tunavyofahamu zoezi la utumaji wa maombi ya Ajira linaelekea kutamatika lakini kiukweli Hali inatisha. Kwa wale ndugu zangu walimu mtakuwa mmeona kwenye shule...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kichwa cha uzi cha husika, hivi karibuni tumetangaziwa serikali kutoa ajira kada za elimu, afya, mifugo uvuvi na sheria . Cha ajabu elimu na afya dirisha limefunguliwa vijana kuanza kutuma maombi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu. Kwa wale wenye diploma za ualimu tunaoomba nafasi za ajira tamisemi kwenye kipengele cha NACTE reg number tunajaza namba gani naona kwangu inagoma. Kuna namba iko kwenye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kwa wale WAOMBAO ualimu, Tamisemi Kuna kipengele kimeongezeka ambacho ni uzoefu wa kufundisha. Kipengele hicho kipo baada ya sehemu iliyoandikwa viambatanisho vingine. Kipengele...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Ajira ni ushindani! Ukipata huku unaweza kukosa kule na kinyume chake. Ukipata kote unachagua pa kwenda, iko hivo siku zote na wengine watafill hiyo nafasi! Kwa nini tunawafundisha Watu...
1 Reactions
3 Replies
877 Views
Kuuliza sio ujinga, hivi Tamisemi wanatumia kigezo kipi kuajiri walimu wenye sifa sawa, mfano Juma alimaliza 2016, masomo: Chemistry na Biology, umri 28 Àlex alimaliza 2016,masomo Ni Chemistry...
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Nimefanya applications hizi nafasi mpya za TRA, nimeapply nafasi mbili ila utumishi wamesema tuombe nafasi moja tu hata kama mtu unaqualify zote. So nataka kuifuta nafasi moja ya Tax Management...
3 Reactions
67 Replies
6K Views
Habari wana JamiiForums Hivi jamani wapo kweli watu waliopata kazi au ajira za kudumu kwa kutoa kiasi cha fedha (hongo, bakhshishi, takrima) au kupitia kwa waganga ili waweze kupata KAZI?
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Msaada kwa aliyewahi kufanya Language(english) and Position test ubalozi wa marekani-job interview. nini cha kujiandaa vitu muhimu vya kuzingatia dondoo zote Muhimu. Asanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajukwaa naombeni msaada. niktaka kuingiza particular za secondary system inaleletea error, "NECTA Candidates particulars does not match"
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kuuliza ndugu zangu, ukisha fanya application na kumaliza, sehemu zote tunazo attach vyeti, unaweza ku-click attached PDF, ku-verify Kama vyeti ulivyo attach Ni sahihi . Na je kitu icho...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mheshimiwa waziri wa uchukuzi kila siku anakuja bandarini kuzunguka na kukagua ina maana hili suala tuseme halijui kuwa watu hawana mikataba na hawana vifaa vya kujikinga na pesa wanayolipwa ni...
10 Reactions
83 Replies
11K Views
Mdogu wa kike ana diploma ya nursing and midwifely, but katika kuomba ameniuliza kama anaweza kuomba nafasi ya muuguzi daraja II yaani wa certificate. Anauliza kufanya hvyo kwasababu upepo kwa...
1 Reactions
5 Replies
994 Views
Job no: 496272 Work type: Temporary Full-Time Location: Tanzania – Mwanza Categories: Strategic Information/Surveillance/Monitoring & Evaluation ICAP at Columbia University, a global health...
0 Reactions
2 Replies
753 Views
Heshima kwenu wakuu. Kama uzi unavyosema kwa wale ambao waliomba nafasi za kazi Deloitte tayari wameshaanza kuwatumia email walio-apply hizo nafasi. Sasa kama utaona kimya wiki hii yote...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Organizational Context The United Nations Industrial Development Organization (UNIDO) is the specialized agency of the United Nations that promotes industrial development for poverty reduction...
0 Reactions
1 Replies
532 Views
Job no: 496269 Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania – Dar es Salam Categories: Strategic Information/Surveillance/Monitoring & Evaluation ICAP at Columbia University, a global...
0 Reactions
1 Replies
564 Views
Job no: 496273 Work type: Temporary Full-Time Location: Tanzania – Mwanza Categories: Research ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman...
0 Reactions
1 Replies
666 Views
This senior manager is a member of the National Management Leadership team and provides leadership for all the work with local churches of the National Office/geography as it works to build the...
0 Reactions
1 Replies
477 Views
Back
Top Bottom