Wakuu hivi kwenye dhana ya idadi ya waliioomba kule kwenye panel yao ya ajira kwa alieomba wa kwanza ndo hua anaonekana? Na je haitaathiri kua wa kwanza kua na possibility ya kupata? Mfano umekua...
Tume ya ajira, tunaomba muwe mnaweka na matokeo ya written interview kwenye account zetu au website, kusudi mtu ajue amepataje na amekuwa wa ngapi na wamechaguliwa wangapi kwenye stage inayofuata...
Wakuu Wasalaam,
Nina CHETI cha Kiapo toka Mahakamani kutokana na majina kutofanana katika vyeti vya Shule, NIDA na Kuzaliwa.
Sijajua nakiweka katika section.
Msaada please
Location: Geita, Tanzania
Company: Plan International
BACKGROUND
Plan International is an independent development and humanitarian organisation that advances children’s rights and equality for...
Background:
The National Institute for Medical Research (NIMR) is a parastatal organization established by an Act of parliament No.23 of 1979 (CAP.59, R.E. 2002) and became operational in 1980...
SimbaNET (T) Ltd is part of, “The Wananchi Group” and it is one of the East Africa’s leading Internet, Data and Communication Solutions Provider Company. We are looking for Head of Sales-SME who...
Habari wakuu naombeni ushauri katika hili jambo, ni hivi jina langu la mwisho katika taarifa za nida linatofautiana na taarifa zangu pamoja na vyeti vyangu nilivyo upload ajira portal , nimejaribu...
ST JOHN’S UNIVERSITY OF TANZANIA EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
St John’s University of Tanzania (SJUT) is a relatively young but dynamic university aspiring to become a global player in the...
Habari wakuu naimani mapambano yanaendelea. Naomba nirukie fasta kwenye mada.
Ajira zimekua ngumu hivyo tunachopata wacha tugawane. Kifupi natafuta mtu anaejua vizuri kuedit audio na ninaposema...
Habari zenu wadau.
Tangu nimeanza kusikia ishu ya kuwepo na tatizo la ajira nchi hii mara zote wanaozungumziwa kukosa ajira inaonekana ni watu wa sekta ya Elimu na afya.
Hii dhana miongoni mwa...
Kuna jamaa tuko naye home kashadharaulika sana mtaani yeye ni Clinical officer kamaliza 2017 ana miaka 30 na kaambatanisha barua ya kujitolea toka kwa Daktar mkuu wa wilaya kakitolea takriban...
Bandugu,
Kuna kampuni inaitwa Legrand hii ni kampuni kutoka France inajihusisha na mambo ya IT.
Najua hapa JFni easy kupata information zote, ombi langu ni Kwa mtu yoyote ambae amewahi kufanya...
kichwa cha binadamu ni mithili ya tenki inapokea kila aina ya malighafi na bila kugoma labda ifike kwenye ukomo kulingana na ukubwa wa tenki hilo japokuwa asili ya tenki ni kupokea kimiminika...
Katika kufanya maomba ya kazi zilizotangazwa na TAMISEMI, waombaji wengi tumekutana na changamoto hii kubwa. (Hasa upande wa elimu, sijui upande wa afya kukoje)
Katika kipengele cha kujaza...
Habari zenu Wakuu,binafsi sina mengi zaidi.
Mimi ni youtuber nahitaji mtu wakunitengenezea Intro Kwa ajili ya vipindi vyangu,km yupo nicheck inbox.Asante
1. Utangulizi
Kampuni ya Flydream Company Limited inashughulika na utoaji wa mafunzo ya udereva, uuzaji wa viwanja, huduma za usafi na upulizaji wa dawa. Ofisi zake ziko Goba, DSM
2. Nafasi za...
NEW JOBS AT LONGIDO DISTRICT COUNCIL, APRIL 2022
The Executive Director of Longido District Council is inviting applications from Tanzanians to fill new vacant positions. Read full details...
Job #:
req17219
Organization:
World Bank
Sector:
Urban
Grade:
GF
Term Duration:
3 years 0 months
Recruitment Type:
Local Recruitment
Location:
Dar Es Salaam,Tanzania
Required...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.