Habari za wakati huu ndugu zangu, nina umri wa miaka 24 nimehitimu bachelor of arts with education (BAED) 2021 katika masomo ya Geography & Kiswahili, Napenda kuomba kwa yoyote anaeweza kunisaidia...
Huwa naingia majukwaa mbalimbali yanayotangaza ajira nadhani mara nyingi huwa naona kama changa la macho hakuna ukweli wowote juu ya uwepo wa ajira zilizotangazwa. Ikitokea kama kweli zipo basi...
Reference Number CCB220304-3
Job Title Quality Assurance Technologist
Job Category Manufacturing
Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania)
Job Type Permanent
Location – Country Tanzania
Location –...
Reference Number CCB220222-1
Job Title Controls & Governance Manager
Job Category Finance and Procurement
Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania)
Job Type Permanent
Location – Country Tanzania...
Reference Number: CCB220318-3
Job Title: Regulatory Affairs Specialist
Job Category: Legal and Public Affairs – Communication and Sustainability
Company: Coca-Cola Kwanza (Tanzania)
Job Type...
Airtel Tanzania PLC wishes to recruit for Enterprise Operation Support Engineers-L1. The role reports to the NOC Assurance Manager. He/She will be responsible to ensure a 24/7 rota the highest...
Company Description
At Infobip we dream big. Last year, over half of the world’s population interacted with businesses through the Infobip platform. It didn’t happen by chance: through 60+...
Habar wakuu katika mapambano ya ajira ningependa kufahamu wanatoa maswali gani katika kada ya accounts na format ya pepar za utumishi zinavyotokaa katika upande huo..
Natanguliza shukran naomba...
ASALAAM,
KATIBU MKUU aliyekuwa secretariate ya ajira tunaomba ayangalie haya kipindi cha daudi yalisimama vizuri sana. Tunamuomba ayasimamie haya:
1. Usaili unapangwa zigzag tu mwanzoni...
Wakuu, naombeni sample ya application letter zinazotumika utumishi.
Je inaandikwa kwa mkono au inachapwa maana nmeona natakiwa kusaini?
Tafadhari naombeni msaada wa haraka
Habari wapendwa I hope ni wazima wa afya, naitwa Kelvin Dickson natokea Dar es Saalam natafuta kazi ya PC maintanance and Networking ambapo nimefanikiwa kupata certificate veta kipawa naweza...
Habarini Humu ndani,
Naombeni msaada au Mashauriano au Anayefahamu ni namna gani ya Kupata nafasi ya kazi katika Mashirika haya ya Umoja wa Mataifa UN, PWC, Delloite, EAC na Mashirika mengine...
Hongera Mama, Rais wetu Mh. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuupiga mwingi sisi watumishi wa Umma tupo nyuma yako katika kupeleka gurudumu la nchi yetu mbele.
Nimeona nishushe uzi huu kukupa...
Proffessionally mimi ni mwalimu, masomo ninayofundisha ni Kiswahili na Historia. Nilibahatika kuajiriwa serikalini mwaka 2013. Kutokana na matatizo ya kifamilia nilikazimika kuacha kazi 2019...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.