Habari wanajukwaa naamini humu kuna watu wa aina Tofauti Tofauti na wengine wamepata kazi zao kupitia hili jukwaa.
Hivyo nakuja mbele yenu kuomba Nafasi au Connection itakayonisaidia Kuweza kupata...
Jamani nataka nitoke kwa mswahili nikafanye kazi na mhindi. Naombeni ushauri, tahadhari na maonyo niweze kufanya hiyo kazi.
Muongee uhalisia ili nisije nikatupa mbachao.
Uzi umeisha
Habari zenu waheshimiwa.Leo nimeona tangazo la kuitwa watu kwenye usaili NHC & TPC kupitia utumishi kama ilivyo kwenye document niliyo attachment hapo chini , MimiBinafsi niliomba nafasi ya...
I am an expert in GIS and Remote Sensing applications for Land Use Planning. Specifically, I often apply GIS analysis in Agricultural Crop Production and other related projects. I am a holder...
Habari za wakati huu wakuu,
Leo nimekutana na jamaa yangu ivi muhitimu wa chuo kikuu akiwa anauza ubuyu ni classmate wangu primary, Basi tukapata wasaa wa kupiga stori mbili tatu ambazo kwa kiasi...
About:
Announcement Number: Dar es Salaam-2022-037
Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam
Position Title: Voucher Examiner (Alternate Cashier)
Open Period:03/17/2022 – 03/31/2022 Format MM/DD/YYYY...
About
Announcement Number: Dar es Salaam-2022-037
Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam
Position Title: Voucher Examiner (Alternate Cashier)
Open Period:03/17/2022 – 03/31/2022 Format MM/DD/YYYY...
Nina mpango wa kufungua biashara ya ugali nyama/Samaki choma, supu N.K
Nahitaji mtu aliyebobea katika upishi huu awe mbunifu na mwepesi wa kupokea na kutafakari mawazo mapya
Lengo ni KUKUA...
Habarini za asubuhi wakuu!
Wadau nina kampuni ya general supply ( building materials and stationeries). Naomba mwenge connection ya kazi mbalimbali huko kwenye maofisi tusaidiane wakuu.
Background
UNDP is committed to achieving workforce diversity in terms of gender, nationality and culture. Individuals from minority groups, indigenous groups and persons with disabilities are...
Tunahitaji walimu wa hesabu kuanzia form 1 hadi 6.
Kazi inafanyika online na utapewa test kabla ya kuanza.
Kwa mwenye uhitaji tuma email: rubysinc2012@gmail.com
Heshima kwenu wadau
Naomba kujuzwa MDH wanalipaje kwa nafasi ya Data Officer nikiwa na maana ya mshahara na pia kama kuna posho zozote wanazotoa mbali na mshahara
Au yoyote mwenye idea ambae...
Iko hivi Kuna mdogo wangu alifanya interview sehemu mbili tofauti ya kwanza ni taasisi ya Fedha ya pili ni taasisi ya Afya na kote akafaulu vizuri.
Taasisi ya Fedha akaambiwa asubiri ataitwa...
Job Purpose:
The Officer will oversee quality assurance, quality control, and customer service regarding the invoicing process; ensure adherence to proper invoicing procedures; and interpret and...
About PHSRF
PHSRF is a non-governmental organization that was founded on demand-driven reasons for saving lives of Tanzanians. Formed out of former Angaza Zaidi program, a countrywide HIV and...
Unitrans Tanzania Limited currently has the following exciting opportunities at Kilombero and Kilosa Districts, Morogoro Region where is subcontracted for various agricultural operations to the...
Job Summary
Reporting line- Senior Manager, ICT Security
Job Summary
Responsible for the Security Operation Center to Plan, direct and control the SOC functions and operations, ensure the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.