Habari za wakati huu waungwana natumai wote muwazima wa afya tele na kama kuna mwenye khitilafu za kiafya basi twamuombea kwa Mungu aweze kumponya amiin.
Nilipost siku za nyuma kutafuta...
Habari wanaJF!
Mimi ni kijana, mwenye umri wa miaka 24. Nimehitimu 2021 shahada ya Usimamizi wa Mifumo ya Afya (Bachelor's Degree in Health Systems Management) ya chuo kikuu Mzumbe.
Kwasasa...
Habari za muda huu Wana JF
Kama nilivyotanguliza hapo juu, maisha mtaani ni magumu sana, kama una roho nyepesi unaweza kata tamaa.
Baada ya kumaliza chuo (bachelor of education) ndio...
ABOUT US
At Ada, we envision a world where everyone has access to the healthcare they need. In one of the biggest challenges facing the world, we pioneered a new form of artificial intelligence...
Heshima kwenu waungwana
Naomba kujuzwa kuhusu Recruitment Agencies nzuri Ambazo zinatafutia watu ajira kwa sasa na hazina longolongo
Yoyote anaezifahamu tunaomba atuorodheshee hapa pamoja na...
Wahusika mpitie mwito huu wa watu kuitwa katika usahili na kuombwa pesa.
Kuambiwa interview itachukua muda mrefu na aliyealikwa ajilipie chakula. Huu ni uhalifu wahusika wachukue hatua.
Hello unemployed teachers!
Poleni kwa kusubiri na bado mtaendelea kusubiri Serikali yenu bado INA mambo mengi ya kimaendeleo lakini haija wasahau .
Leo tarehe 27/01/ ni birthday ya Mh. Rais...
Anahitajika kijana wa kiume kwa kazi maalum Dar Es Salaam na uwezekano wa kusafiri Mikoani. Malipo Tsh. 20,000 kwa siku. Awe na kiwango cha elimu ya Diploma au Degree, awe na uwezo wa...
Habarini za asubuhi naombeni kujua huu mradi wa ela nyingi nimesikia umeanzishwa uko LINDI na nadhani utahitaji watu mbalimbali.
Naomba kujua nafasi za kazi zinapatikana vipi uko, maana mimi nipo...
Wakuu habari za kwenu nyote
Natafuta kazi ya stationary kwa mkoa wa morogoro/Dodoma
Uzoefu ninao wa zaidi ya miaka 3.
Vigezo vyangu katika kazi:
1. Nafahamu vizuri sana kutumia computer..
2. Nina...
Ndugu zanguni tangu tarehe 08/01/2022 kulifanyika aptitude test interview ya investigation office and assistant investigation kwa seem kama UDOM, MIPANGO, AND ST.JOHN wakasema watatoa majina kwa...
Habari za wakati huu wapendwa.
Napenda kufahamu kitu kimoja jamani kwenye masuala ya uandishi wa barua ya kazi utumishi. Utumishi kwenye Ajira portal yao wanahitaji meombaji kazi aambatanishe...
Habari! Mwalimu /mlezi anahitajika
Shule: Tiger Day Care
Wapi: Dar- kinondoni-kawe
Sifa: Awe amesomea uwalimu/ au malezi , awe anajua kingereza vizuri na nyimbo nyingi za watoto, upendo kwa...
Habar wakuu wa JF
Napenda kujua kwanin nafas za kaz kwa watu wa level ya chini ya elimu ni ndogo hususan sisi watu wa vocational education kwa kila matangazo ya ajira au hata maofisin watu wa...
Serikali ilitoa maelekezo juu ya ajira kwamba halmashauri zenye uwezo wa kifedha ziajiri walimu kwa mikataba ili kupunguza gap LA walimu huko mashuleni,
Mpaka sasa tunaona kimya Je.
Halmashauri...
Introduction/Utangulizi
Tuna kipindi cha tv ambacho kimepata tayari air time kwenye tv fulani nchini, aina ya kipindi ni kinahusu maswala ya teknolojia, pia tuna mpango wa kuanzisha chaneli ya...
Habari ya muda tena?
Jamani niliona ni vyema nikapita tena apa nitangaze tena.
Ninatafuta ajiri jijini Arusha iwe full time ama part time nipo. Nina skill katika matumizi ya computer, nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.