Mlioomba kazi kupitia recruitment portal ya Tz mnipe muongozo mmewezaje kuikamilisha profile maana leo ni siku ya pili nakwama plus profile picture inagoma kuaupload
Wakuu kwa wale tuliomba nafasi za kazi kwa ICT OFFICER II (COMPUTER SYSTEM ADMINISTRATION) ya TRA ,tupeane Nondo .
1. Maswali ya kusoma
2. Pepa huwa zinakuwaje .
Karibuni
Habar za majukumu wana forum kwa majina naitwa Twaha Mussa ninatafuta gari kwa ajili ya taxi yaani Uber Nina account zote Uber na bolt na ziko active kwa yeyote atakaye hitaji dereva napatikana...
Habari ya leo wakuu,
Mimi ni mjasiriamali ambaye nna kampuni inayo jihusisha na utengenezaji wa bidhaa za usafi
Ni bidhaa zinazo tatua changamoto ya uchafu na madoa sugu
- Stain Remover inayo...
Habari zenu ndugu zangu,
Mimi ni kijana mchapakazi, natafuta kazi udereva yani Uber na Bolt. Nina account yangu ipo active pia nina leseni ya udereva ninahitaji gari ili tufanye biashara na...
Kwanza najua kabisa ukishazaliwa mwanaume jua hakuna wa kukuonea huruma, kwahiyo pambana hadi mwisho!
Ila Kuna pale mishe zote zinakwama kila unapogusa Ngoma ngumu.
DUH hapa nawaza Leo siku...
Wapendwa kama kuna aliewahi pata Hili tataizo anisaidie alivosaidiwa
Email yangu niliotumia kujiunga na ajira portal iko dis abled means siwez kuitumia je kuna uwezekana ajira portal...
VACANCY FOR THREE NUTRITIONISTS/HORTICULTURALISTS
ADP Mbozi is Non-Governmental Organization operating in the Southern Highlands of Tanzania since 1986. This organization was registered as a Trust...
Naitwa Prince, Nina miaka 25, education level ni form four na ujuzi wa mapishi bila vyeti. Kwa yeyote mwenye kujua mchongo wowote ule naomba connection 0676790241
Wasalaam ,kwa Wanajukwaa wote imekuwa ni kipindi kirefu tangu vijana waajiriwe tangu mwaka 2018 ,sasa Tunawaomba Sana mhe waziri Atuangalie vijana tuohitimu mafunzo tangu mwaka 2020 hatujaajiriwa...
Overview
Global Animal Health Tanzania (GAHT), a legally registered NGO that is supported by Washington State University and collaborating partners in Tanzania, serves to manage a broad range of...
Tanapa wametangaza nafasi za kazi 48 kupitia sekretarieti ya ajira Leo.
Vigezo ni cheti cha Form 4 na cheti cha JKT au certificate of Basic Technician in wildlife management .
VACANCIES...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.