Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
  • Closed
Habarini wakuu, Mimj kijana wa kiume, muhitimu wa chuo kikuu mwaka huu mkazi wa Dodoma mjini. Natafuta kazi yoyote mjini Dodoma itayoweza nipatia mahitaji yangu ya msingi iwe ya taaluma au ya...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Naitwa Aggrey Sylivester natafuta gari kwa ajili ya Taxi za mtandao Uber,Bolt,Ping nk. Nina uzoefu wa miaka 2 ktk kazi hii.Nipo Daresalaam nina Leseni class A,B,C1,C2,C3,D,E Mawasiliano 0784876619
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari zenu wana jf naomba kujuzwa mwenye tetesi kuwa pccb wataita lini coz ndo sehemu pekee tunayoitegemea na kuhusu interview zao huwa zinzkuwaje? natanguliza shukran zangu!
0 Reactions
22 Replies
16K Views
Benki kuu wametoa majina tyari i
4 Reactions
52 Replies
9K Views
Natafuta kazi ya farm manager /assistance sehemu yoyote muda wowote .nimesomea kilimo na mifugo (diploma). Mawasiliano 0627164910 adelickkalala@gmail.com
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kampuni ya Punch company limited Inatanganza nafasi 500 kwa wachumi, HR, ACCOUNTANT, WATU WA MASIJALA KWA AJILI YA KUPUNCH LAANA ZILIZOKO KWENYE JAMII MAANA UHURU HAWAKUTENGENEZA KITENGO CHA...
0 Reactions
57 Replies
4K Views
Habari zenu wana jamvi. Mimi ni kijana wa kiume natokea mkoa wa Arusha. Ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya Kazi yoyote halali kwa mkoa wa Arusha tupeane. Elimu yangu in Shahada ya Uhasibu na...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujulishwa upatikanaji wa kazi za vibarua viwandani na malipo yapoje kwa siku kwa anaeelewa anisaidie
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mambo vip wakuu Kuna project inataka kuanza wiki ijayo inahusu kusambaza ubuyu wa jumla na rejareja mtaani. Kwa ambaye Hana ramani, ramani ndio hiyo hapo. Unapewa target ya mzigo, ukiisha unalipwa...
3 Reactions
19 Replies
994 Views
Urgent requirement Burque East Africa is currently looking to fill the below vacant position: 1: Sales interns These should have completed bachelor degree,fresh graduates will be given first...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Natafuta Chef mwenye uzoefu mkubwa waapishi mbalimbali ya mbuzi, kuanzia choma, foil mpaka supu. Kama ni eneo lako naomba nitumie SMS kwa 0759 819 819. NB: Kituo cha kazi ni Bunju B na malipo ni...
1 Reactions
3 Replies
995 Views
POST DETAILS. EMPLOYER: CORIS COMPANY LIMITED POST: CASHIER QUALIFICATIONS; Diploma in Accounts or any related field Send your CV and Application letter to; salescoris@gmail.com. Or bring it to...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Habari wakuu, Naomba msaada kwa mtu anayezifahamu lobbying firms zinazofanya kazi hapa Tanzania, hasa Dar es Salaam na Dodoma. Na sana sana zile ambazo ziko active kwenye sera mbalimbali. Asanteni!!
0 Reactions
3 Replies
651 Views
Mimi naitwa Emmanuel Kidasi mwenye umri wa miaka 31 ni fundi umeme, nimesoma elimu yangu ya secondary na kisha kujiunga na nafunzo ya VETA kisha kuhitimu mwaka 2010, nimefanyakazi sehemu...
0 Reactions
1 Replies
784 Views
Habari za wakati huu ndugu zangu, Mimi ni dereva ambaye pia nina uzoefu wa kazi za sales na marketing. Nina leseni ya uendeshaji yenye madaraja D, E, C1,C2,C3,B. Haiba yangu ni mtu mchangamfu...
1 Reactions
57 Replies
6K Views
Nawasalimu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu natafuta mwalimu mzuri aliyebobea katika ufundishaji kwaajili ya kumfundisha mwanangu ambaye mwakani...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Kuna kitu nahisi hakiko sawa kwenye kampuni ya Dangote. Hebu pitieni hiyo document iliyopo hapo chini.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom