Overview
Air Tanzania Company Limited (ATCL) is implementing its five years Corporate Strategic Plan (2017/2018-2020-2021) which includes the network expansion in local, regional and international...
Madibira AMCOS inahitaji mitambo ya ujenzi wa bara bara. Mitambo hiyo ni excavator, tipa, boza, rola(sindilia) na greda.
Mkodishaji awe na uwezo Wa kutoa risit za EFD na awe na leseni ya...
Wakubwa mliopo TPA hapa DSM. Ndugu yenu nimekwama nahitaji connection ya kazi za kibarua zile za malipo per day. Hata zile za Ukuli. MKONO Uende kinywani. Kitambulisho cha Temporary post za suma...
Mimi kijana wa miaka 23 npo dar es salam
Natafuta kazi ya udereva mwenye uhitaji niko
Nina ujuzi wa ufundi magari wa miaka 3
Madaraja yangu A A2 B D E
Nina elimu ya kidato cha nne nipia...
Mgahawa unaitwa upcountry Kitchen taste upo mweka - Kilimanjaro , unatangaza nafasi za kazi kwa wahudumu na wapishi wa kike.
Waombaji wawe wakazi wa Kilimanjaro , awe msafi, anayejituma...
Maneno 500 tu.
Njoo inbox mwenye shida na elfu 10.
Andika kwa kawaida tu hata hapahapa waweza kuandika paragraph moja tu inatosha kabisa.
__________________________________
Haiya sasa karibuni vijana wenye sifa tajwa hapo kwenye Tangazo halijachakachuliwa wala nini... Ooh sijui tayari watu walishapatikana tangazo linapostiwa kutimiza wajibu, alafu wengine Tz...
Kama maada hapo juu inavyosema nimeitwa kwenye interview TARURA kada ya Procurement naomba mwenye ufahamu wa kujua huwa interview zao zipoje?
Naomba mnisaidie
TAHA is an apex private sector member-based organization mandated to develop and promote horticulture (flowers, fruits, vegetables, spices, herbs and horticultural seeds) in Tanzania. TAHA’s goal...
Habari Wadau,
Kijana mwenye uwezo wa kufanya Intern ya Graphic and Design
Anicheki wakuu,
Kuna fursa imejitokeza au atume mail kwa kassa.mwakambaya18@gmail.com
Ahsante
Kama kuna mtoto wa kiume aliyepo Dar anicheki PM. Ni kazi ya siku 1 tu namtuma Kibaha na Mbagala posho elfu 15. Kwa maelezo njoo PM. Ni kazi inahitajika kufanyika kesho Jumatano. Ahsanteni...
Nina umri wa miaka 28 ninaishia Bagamoyo maeneo ya Mapinga shule ninao uzoefu wa kutosha kwa kazi hiyo nimefanya kazi ya stationery kwa zaidi ya miaka 7 na Secretary hivyo ninaouzoefu mkubwa...
Hi kwa kijna yoyote awe wakike au wa kiume mwaminifu aje PM.
Kazi: kijana wa kuuza duka la vifaa vya simu, awe mwanza mjini
Kama upo tayari njoo tuzungumze
Habari za mchana huu wana jukwaa,nina kampuni nilisajili mwaka jana mwezi wa kumi,lengo ni kushughulika na tenda za kulisha chakula katika makampuni na viwanda mbali mbali ndani ya nchii hii.
pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.