Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Planet Open School ni taasisi inayochojihusisha na utoaji wa elimu kwa wale wanaojiendeleza kielimu. Taasisi hii inahitaji mwalimu wa biology na chemistry mwenye uwezo wa kufundisha kuanzia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naitwa Pastory Augustino Nipo morogoro Naomba kama kunamtu anafahamu sehemu yenye uhitaji wa mwalimu wa masomo tajwa anisaidie aisee, Level yangu ni diploma
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu habari za humu ndani,jina langu halali naitwa kelvin, nimehitimu chuo mwaka huu ila uku mtaani sion mwelekeo kabisaa, leo nimekuja natafuta kazi ndugu zangu ikiwa ni uwakala wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tangazo hilo kama linavyojieleza wapendwa ninahitaji nafasi ya kazi. Nina miaka 28Yrs...mkazi wa Kahama Shinyanga...Nina ERP....Uzoefu upo wa kutosha tu kama miaka 5 tokea nimalize chuo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni dereva wa uber natafuta gari kwa shuguli za kazi ya Uber ni kila kitu vinavyoitajika kama dereva wa Uber namba yangu ni 0684186585, 0766090933
1 Reactions
0 Replies
694 Views
Wakuu naombeni kujuzwa namna ya kufanikiwa hata kuitwa kwenye interview za ajira za hawa jamaaa. Tafadhali
1 Reactions
1 Replies
939 Views
Heshima kwenu wakuu. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, Wakuu namtafuta mtu yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kupata ajira Kama unao uwezo huo tuwasiliane PM au kupitia...
2 Reactions
23 Replies
5K Views
salam kwenu wana jukwaa. Nimeitwa usaili utumishi next week kada ya ICTO II post ya software developer HESLB. Hii ndo interview yangu yakwanza utumishi nlikua naomba nimepewe hints wapi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Anaitajika kijana Mwenye uzoefu wa Kunyoa Sifa za Muombaji Awe anauzoefu wa mwaka mmoja au zaidi, Awe anauwezo wa Kuzunguza ,Kushawishi, na Kuwasiliana Vizuri na Wateja, Awe Mvumilivu na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Me nikijana natama kujiunga najeshi la police lakin kuhusu Mishahala yao ndio chijui vizuri nataman niijue kiundan pamoja na vyeo vyao
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari wakuu, Nimekuja mbele zenu kuomba msaada wa ajira. Mimi ni kijana wa miaka 23, nina astashaada ya ICT lakini natafuta kazi yoyote ya kwenda na kurudi ( kasoro kazi ya kuuza bar tu ), Pia...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu naomba kufahamu hii casino naweza vipi kuapply kwa anaejua anisaidie nahitaj kuapply nimesikia kuna nafas Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
3 Replies
963 Views
Position: Project Assistant - Integrating rights based approach in sustainable natural resources management Vacancy #: 5348 Unit: Tanzania - Programme Organization: International Union for...
0 Reactions
1 Replies
921 Views
Hello salama wakuu natafuta vijana wenzangu tuunde kikundi kwa ajili ya kufanya shughuli za ufugaji kama Kuku au Nguruwe n.k , kwa walioko mkoani Mbeya ni bora zaidi ."tukiwa na umoja ni rahisi...
0 Reactions
1 Replies
433 Views
vipi wadau wa jf...vipi kuna aliyetumiwa meseji au kupigiwa simu kufanya usahili wa oral kesho jumatatu kwa waliofanya written maana tunaona kimyaa au tayari waliofaulu washaitwa?
0 Reactions
0 Replies
635 Views
Jinsia: Ke Natafuta kazi ya kufanya usafi wa aina zote maofisini, majumbani, lodge, kwenye makampuni, supermarket. Elimu: darasa la saba Uzoefu: Ninao wa kutosha katika hii kazi Mahali...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Overview The Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited (KLICL) previously known as Karanga Leather Industries Company Limited is established as a Joint Venture company between...
0 Reactions
1 Replies
537 Views
SEEKING FOR CONSULTANCY TOR for the Water, Sanitation and Hygiene Needs Assessment for Tumbatu community in Zanzibar Background: SOS Children’s Villages Zanzibar is Local Non- Government...
0 Reactions
3 Replies
649 Views
Habari wakuu Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 27 nipo dar Kwa miaka 10 sasa nimekuwa nikijishughulisha na Kazi za ukarani (tally clerk),operation manager, c&f agent na mtunza...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama wahenga walivyosema kwenye miti huwa hapakosi wajenzi Mimi ni kijana umri wangu miaka 25 natafuta kazi jamani ya Aina yoyote elimu yangu ni kidato Cha sita ni kijana muaminifu na mtiifu pia...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom