Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari wakuu. Kijana wenu hapa nina shida ya gari ya mkataba au hesabu .nina uzoefu na Uber na Bolt. Pia, kama kuna mtu anajua makampuni yanayo toa magari kwa mikopo tafadhali sana naomba...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Hello I'm look for a job and specialized in AUTOELECTRICAL and DIAGNOSIS machine technician and for I'm based on tour guide cars for volunteers(land cruise and land rover)but for other job for any...
0 Reactions
3 Replies
598 Views
Habari za humu wanajamii,hapa nipo njia panda kidogo kuhusu suala hili la kazi. Nimuhitimu wa kozi ya uhandisi wa umeme katika chuo kimoja hapa nchini,mnamo mwaka 2018 nilimaliza degree yangu...
1 Reactions
12 Replies
845 Views
Habari wakuu, Nilisikia Japan wanahitaji watu wenyeujuzi LAKINI mfumo umekaaje sijajua kwa anayefahamu. Nahitaji muongozo na Mimi nikapambane Mimi ni welder/fitter.
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajf, Nahitaji mtaalamu mwenye uelewa na uwezo wa kuandika business proposal kwenda Kwenye kampuni au taasisi binafsi au serikali, Anicheki kuna kazi tufanye kwa makubaliano. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
826 Views
Habar wakuu, kama title yangu inavyo jieleza hapo juu mm ni kijana wa kitanzania, jinsia (me) nimehitimu diploma ya ubora wa maji chuo cha maji ubungo-dar es salam mwaka 2019. Nilikuwa natafuta...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar, Ninaishi Mwanza pia Niko teyari Kufanya Kazi maeneo yeyote Yale. Nina shahada ya Uhasibu katika chuo cha Usimamizi Wa Fedha(IFM), Nina uzoefu wa miaka 2(mwili)) katika fani hii ya Uhasibu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi wenzangu, Vijana wenzangu, wadogo Zangu na wakubwa Zangu, ndugu jamaa na marafiki nimerudi tena kwenu kwani mwezi may tar24 nilipost hitajio langu kuomba msaada kwa yeyote...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauliza kazi kwenye any private school O level au A level. Nina uwezo mkubwa wa kufundisha biology japo nahold degree nyingine. Nafanya kazi eneo lolote na nipo tayari kwa any interview.
0 Reactions
2 Replies
778 Views
Habarini wakuu, Nilikuwa nahitaji kijana wa kukaa DUKANI (uuzaji) - Ni duka la jumla lipo maeneo ya Gongo la Mboto VIGEZO Awe anajua kusoma, kuandika na kuhesabu (kuanzia kidato cha nne na...
6 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari wadau, Nimeleta fursa kwa vijana. Anahitajika msichana mrembo, msafi kwaajili ya kazi ya kuuza matunda na juice Mkoa anaoitajika ni Arusha Mshahara sh 80000 chakula na nauli utapewa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana Jukwaa, Poleni na majukumu. Tafadhali naomba kuwasilisha maombi yangu kwa yoyote mwenye uwezo wa kunipa ajira yoyote halali au hata connection ya kupata ajira popote nchini...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu kwema wale walioingia interview leo alfajiri UDOM ya Customs Officer. Hiyo paper imekaaje wakuu? Ajira tutapata wapi kama maswali na muda ndio huo. Dah sijui yaani manake navurugwa nauli...
2 Reactions
21 Replies
8K Views
Habari zenu jamani ,napenda kuuliza izi ajira za usomaji wa mita za maji dawasa jinsi ya uombaji wake na upatikanaji wake wa ajira ukoje.......
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu! nipo jiji la Makalla ,naeza fanya kazi yoyote inayohitaji IDEA(s) ili kazi ifanyike Nina ka-bachelor ka Philosophy with education (specialized in Philosophy and Linguistics) Tuinuane kwa...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Elimu Tech Foundation (ETF) ni shirika jipya lisilo la kiserikali linalojishughulisha na maendeleo ya tehama kwenye elimu hususani kwenye shule za serikali kwa kuhakikisha miundombinu ya tehama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni vipi mwanafunzi wa chuo asome na kujitaftia ajira wakati bado anasoma?
0 Reactions
7 Replies
883 Views
Habari za leo JF HERI YA X-MASS NA MWAKA MPYA Baada ya kuichunguza biashara ya genge la chips na mgahawa nimeona ni bora niwekeze pia hela kidogo kwenye hii biashara ila umekuwa mtihani kupata...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Kama kichwa Cha habari kinavyo someka natafuta msichana wa kusaidia kazi, atakaa na watoto wawili miaka 6 na 4. Eneo ni Arusha mjini ningependa anaetokea maeneo ya karibu Kama vile Manyara...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bro anatafuta dada wa kumuuzia genge lake Umri 18-23 Elimu atleast form four Mahali Mbezi Awe na mvuto kidogo salary mtaNegotiate. more info njoo PM
2 Reactions
15 Replies
914 Views
Back
Top Bottom