Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wana jamvi nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano bila shaka kazi zinaendelea! Juzi kati nimefanya interview na hawa jamaa wa Bureau Veritas kwa sasa nasubiri majibu ya hiyo interview. Ila...
0 Reactions
4 Replies
926 Views
Habariii wana familia.......mimi ni kijana nilie maliza masomo ya chuo kikuu cha dodoma Bachelor of information systems mwaka huu mwezi wa 8 wakati huu nikiwa nasubiria matokeo ya muhula wa mwisho...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
POSITION: Hospitality Assistant 10-Aug-2021 Logistics location: DAR ES SALAAM-MAFUTA RD(TZA) Job Description HSEQ: Application of Safety Managements Systems Quality Control of products to be...
0 Reactions
0 Replies
505 Views
UTEKELEZAJI WA MCHAKATO WA AJIRA SERIKALINI NA CHANGAMOTO ZA BAADHI YA WAOMBAJI KAZI Mtakumbuka Serikali katika mwaka wa fedha uliomalizika 2016/2017 iliahidi kutoa Ajira serikalini zaidi ya...
4 Reactions
43 Replies
17K Views
Unajua kuna kipindi inafika sisi kama vijana tuwe tunaamka kiukweli, Ndio penye nia pana njia, washindi hawakati tamaa, bidii huzaa matunda, n.k lakini haya mambo yana mazingira yake. Nina...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Assalam alaykum, bwana Yesu asifiwe Wakuu ile Kazi niloleta Uzi kuhusu interview yake imetiki. Post yenyewe Ni QA/QC (quality control) kwenye FMCG food industry. Naripoti kesho. Ushauri mpya...
4 Reactions
40 Replies
4K Views
Anahitajika pharma technician mwenye certificate wa kuuza pharmacy iliyopo Kigamboni. Mshahara ni makubaliano. Mwanyekuhitaji piga simu +255713214258.
0 Reactions
3 Replies
787 Views
Habari za leo wanafamilia! Tuna mgawaha mdogo maeneo ya Chang'ombe maduka mawili Dar, tunahitaj Dada mmoja wa kusaidia kudeliver order na kufata order. Akiwa anaishi mitaa ya huku au angalau...
1 Reactions
1 Replies
921 Views
Wakuu wana jf habarin, Naomba kuuliza kati ya diploma ya maabara Yan medical laboratory na diploma pharmacy ipi unaweza kuajiriwa haraka serikalini?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mara nyingi wahanga wa ajira tunapotoka kwenye usaili huwa tunajiuliza maswali mbalimbali kulingana na ulivyojibu maswali kwenye usahili kwamba je utapata hiyo kazi au la. Inapotokea Interviewer...
4 Reactions
80 Replies
8K Views
Habari ndugu zangu. Napenda kuwatangazia kuwa km una ndg au jamaa ana ujuzi wa secretarial course au kompyuta kwa ujumla basi natafuta mtu wa Kazi ya stationery. Km yupo Niunganishe nae inbox...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hellow, Kumekua na malalamiko mengi sana juu ya ajira kua zimekua ngumu lakini kulalamika kwetu bado hakuleti tija, zaidi ya vyote kila mwaka wanachuo wapya wengine wanazidi kumaliza idadi yao...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimefikia hatua hii kwakuwa nimeona mabadiliko makubwa sana tangu kusitishwa kwa ajira na hivi sasa vibali vilipoanza kutolewa na serikali kwa ajili ya kuajiriwa watumishi wapya ndani ya utumishi...
2 Reactions
24 Replies
8K Views
Fungua hili hiki kiambatanisho https://www.ajira.go.tz/wp-content/uploads/2019/01/VACANCIES-ANNOUNCEMENT-Tanzania-Revenue-Authority-16-Jan2019.pdf
1 Reactions
22 Replies
11K Views
Pakueni mzigo wakuu, kila la kheri kwa wote waliokua shortlisted. silent_ocean
0 Reactions
12 Replies
11K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 195 Tume ya Utumishi wa Mahakama ni chombo kilichoundwa kwa mujibu wa aya ya 112(1) ya Katiba ya...
4 Reactions
39 Replies
11K Views
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Idara Zinazojitegemea, Taasisi za Umma MbalimbalI Serikalini, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
TANGAZO LA KUITWA KAZINI Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali za Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) na...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/J/40 20th September, 2017...
2 Reactions
1 Replies
5K Views
On behalf of the TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY (TCRA), President’s Office, Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill vacant posts as mentioned...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Back
Top Bottom