Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari zenu, ninatafuta ajira kwa kuandika online kwa mtu mwenye anafahamu anamiliki online Chanel yoyote inayolipa, msaada wa connection ninahitaji. Naandika kwa lugha ya kiswahili, ni machapisho...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za leo wakuu, kijana wenu nimerudi tena Naomba yeyote mwenye kujua mtu anayehitaji dereva wa bodaboda yake aniunganishe maana naweza kufanya hiyo kazi kwa ufanisi mkubwa. Napatikana...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi ni fundi WELDING mzoefu Natafuta kazi NICKSON JOHN NGILIULE DODOMA 0713515769/0762758973 Email: njohn2139@gmail.com PERSONAL DETAILS FULL NAME: NICKSON JOHN NGILIULE DATE OF BIRTH...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Rejea kichwa cha habari hapo. Nina swali juu ya level/ grade ambazo veta wanafundisha/ wanatoa rejea kiambatanisho kifuatacho FUNDI MCHUNDO DARAJA II (UMEME) - 1 POST Employer: SHIRIKA LA...
0 Reactions
18 Replies
12K Views
Role and responsibilities Adhere to NRC policies, tools, handbooks and guidelines Manage the procurement support function portfolio according to plan of action Line Manage a team of staff who...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Wanajamvi kwema? Kama kichwa cha habari kinavojieleza naulizia kama hao watu wameshaanza kuita kwenye usahili katika zile nafasi 100 walizotangaza za Afisa mikopo.
1 Reactions
50 Replies
13K Views
Position Overview: The Literacy Facilitator is responsible for supporting and coaching teachers, librarians, and principals to adopt new ways of working with children to increase their literacy...
0 Reactions
0 Replies
384 Views
Kama Mada hapo juu inavyojieleza, anahitajika mdada wa kazi za ndani, Mahali ni kibaha, nyumba ina mtoto mmoja tu wa miaka Sita. Kwa yeyote mwenye connection tusaidiane.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
TANZANIA RED CROSS SOCIETY The Tanzania Red Cross Society (TRCS) is a voluntary humanitarian organization established as an independent National Society (NS) by the Act of Parliament No. 71 of...
0 Reactions
2 Replies
758 Views
Maendeleo Bank PLC is inviting applications from qualified and experienced candidates to fill vacant positions in its staff complements at its Head Office. The Bank seeks to recruit highly...
0 Reactions
0 Replies
546 Views
Introduction Chartered in 1983, Aga Khan University (AKU) is a private, autonomous and self-governing international university, with 13 teaching sites in 6 countries over three continents. An...
1 Reactions
0 Replies
576 Views
Habarini ndugu wanaJF, Mimi ni kijana (Me) nina miaka 25 nimemaliza chuo mwaka jana (Bachelor of Education in Arts, History & Kiswahili), natafuta kazi yoyote ndugu zangu nimehangaika kusambaza...
6 Reactions
43 Replies
6K Views
Huu uzi utumike kama hamasa kwa wale wanaohitaji ongezeko la mishahara,Unaweza ukaweka taarifa zako za mshahara kwa kuficha baadhi ya vitu mfano majina yako, Taasisi yako au Slip namba. Hamasa ni...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Muuza bidhaa mlango kwa mlango anahitaji Eneo la kazi: Dar es Salaam Sifa: Mwenye uwezo wa kushawishi na kuuza bidhaa Mawasiliano: Tuwasiliane inbox
1 Reactions
4 Replies
591 Views
CRDB BANK juzijuzi mmeita watu kwenye usaili kwenye nafasi ya sales executive ila utaratibu mnaotumia kuwaita watu kwenye usail wa kazi ni wakibaguzi kwa sababu mnatumia njia ya kupiga simu peke...
10 Reactions
79 Replies
16K Views
Salaam wakuu, Kwa yeyete mwenye gari na anahitaji dereva wakumsaidia kumpeleka safari zake ndogo ndogo za hapa na pale mjini Dar es salaam,anichek tu,malipo tutaelewana ila trust me atakuwa...
1 Reactions
4 Replies
760 Views
Mwana jukwaa kuwa huru kutupa baadhi ya changamoto ulizopitia wakati unatafuta ajira, pengine labda itakua fundisho nasi wengine tujue namna ya kuruka viunzi hivyo. Karibu
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Watu wanaielewa dunia kwa kusoma, kusafiri, kuchangamana na jamii tofauti nk. Ukipata bahati ya kufanya hata kazi za ndani kwa watu wa aina hii unapata ahueni. Kazi za ndani kwa houseboy au...
10 Reactions
23 Replies
3K Views
Mimi ni kijana (wakiume) ambaye Nina diploma ya uhandisi migodi (Mining engineering) . Nina uzoefu katika uchimbaji na shughuli hizo kwa miaka kadhaa. Kazi ambazo naweza kuzitenda /kushauri site...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana JF I hope mpo poa, Mimi mi muhitimu wa Diploma ya Account mwaka jana nilijaribu kuomba mkopo nienndelee na Bachelor ila nilikosa. Naomba kama mwenye kunisaidia nipate sehemu hata ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom