Tangazo la ajira
Anahitajika msimamizi wa bar
Vigezo
Awe mkazi wa Dar
Elimu form four n above
Jinsia wanawake watapewa kipaumbele
Awe na background ya sales
Mkweli na mwaminifu
Majukumu...
JOB OPPORTUNITIES
Click on each below to read more and apply: Bofya kila moja hapo chini kusoma na kuapply:
1. Mechanical Trainer (Fixed Plant)- 1 POST
2. Instrumentation Technician -...
Habari gani ndugu wanajamvi wezangu.
Ngoja niende kwenye hoja yangu moja kwa moja. Kuna ajira zilitangazwa na wizara na Afya, watu waliomba ikiwemo mimi mwenyewe. Yapata mwezi mmoja sasa tangu...
Muda wowote kuanzia sasa serikali kupitia kwa katibu mkuu. OR-TAMISEMI itatangaza orodha ya waombaji waliofanikiwa kupata ajira za ualimu na afya 2021.
========= UPDATES=======
Ndugu zangu kuna jambo limenishangaza au labda mimi ndiyo sijui,
Nilikuwa natafuta goverment primary boarding schools za hapa nchini kwetu kwa kweli nimezurula sana kwenye mtandao lakini...
Habari Wanabodi.
Pharmaceutical Assistance na Pharmaceutical Dispenser wenye uzoefu wa Kazi ya kutoa huduma katika Duka la Dawa /Pharmacy wanahitajika kufanya kazi Mtwara na Singida
Karibuni Sana
Natafuta kazi yoyote halali.
Elimu yangu ni kidato cha nne pia nimehitimu mafunzo ya udereva veta ila sina uzoefu sana sababu sijawahi fanya kazi ya udereva popote ila nikipewa kazi nafanya properly.
Wakuu naomba kama kuna mtu ana mrejesho wowote kwa zile kazi za EAC zilitangazwa juzi.
Nakumbuka mwaka jana walitangaza, nikaomba nikaona kimya Mwaka huu wametangaza tena nafasi zilezile ila bado...
Habarini wakuu,
Elimu yangu ni form six
Jinsia ni ke
Nimejitokezak kwenu kutafuta kazi yoyote halali
Kufundisha(naweza kufundisha masomo yote except physics) kwa O-level
Kufundisha primary...
Habari zenu wakuu poleni na majukumu ya kutafuta rafiki,
Natafuta kijana mwenye uzoefu wa kutengeneza juisi ya miwa.
Location: mbagala
Mshahara: makubaliano
Jinsia: jinsia yoyote
NB: awe...
POST DESCRIPTION
I. POSITION INFORMATION
Vacancy Number
IOM/DAR/012/2021
Position title
Operations Assistant (Field Support)-2 Positions
Position grade
G-4
Duty station
Dar es...
Hello wana,
Jamvi niliomba nafasi kwa hawa jamaa wa Car Tracking since last week na nimefanya interview nao kadhaa ikiwemo ya Oral through WhatsApp calls ila leo wamenitumia email kwamba...
Habari wakuu,
Mimi ni dereva na natamani niendeshe Uber hasa ya mkataba. Nimetafuta sana kazi za kuajiliwa sijafanikiwa na cjakata tamaa ila nimeona nijaribu na hili. Mwnye msaada wakuu.
Habari wanajamvi?
Mimi ni jinsia Ke, umri miaka 28, Elimu shahada, sekta ya afya, fani ya Uuguzi, bado sijapata leseni hivyo imekuwa ngumu kwangu kupata nafasi kwenye hospitali kwa kujishkisha...
Hoteli ya Lahe ya Mwanza inatarajia kuajiri wapishi 2 wenye sifa zifuatazo:
1. Awe na cheti cha menejimenti ya hoteli kutoka chuo kinachotbulika
2.Awe ana elimu ya sekondari
3.Awe na uzoefu usio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.