Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari, Kama mada ilivyotajwa hapo juu, mimi ni mtaalamu wa elimu ya awali ambaye bado nipo masomoni nikisoma Bachelor Degree. Nimeona ni vizuri kabla sijamaliza kusoma nitafute shule ili niwe...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habarini za majukumu! Mm ni msichana nmemaliza Chuo mwaka Jana ktk fani ya business ila major yangu ni accounting ( bachelor) natafuta kazi au hata nafasi ya kujitolea ili nipate uzoefu zaidi ,pia...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Naitwa costantine malando nina umri wa miaka 26 natafta kazi ya kujitolea ktk kampuni lolote hapa tanzania na nje ya nchi. Nina degree ya kwanza ktk usimamiz wa biashara ktk kitengo cha uhasibu...
1 Reactions
2 Replies
851 Views
Mimi ni kijana (ME) nina miaka 22 mwanafunzi wa chuo cha mzumbe ni nasoma BACHELOR OF LOCAL GOVERNMENT MANAGEMENT mwaka wa kwanza . Kwa sasa nipo mkoani rukwa natafuta kazi ya kujitolea katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu! Mimi ni kijana mwenye diploma in Information Technology (IT), natafuta ajira iliyo halali ama mahali popote dar es salaam ambapo naweza kufanya kazi kwa kujitolea ili niweze kupata...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
1. JOB TITLE: OFFICE ATTENDANT (1 position- Pemba) Major roles and responsibilities ● Cleaning and maintain the sanitary of the premises which includes Offices and College along with...
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Someni kwenye screenshot hiyo.
0 Reactions
0 Replies
466 Views
Wakuu habari ya saivi? Leo nimekaa nikapata hili wazo. Asilimia 89% ya watu wanatafuta ajira humu ndani ni watu ambao wana proffesional zao nzuri. Mfano : Humu kuna Engineers, Technicians na...
1 Reactions
2 Replies
960 Views
4.0.1. JOB TITLE: FLIGHT OPERATIONS DEVELOPMENTAL INSPECTOR (SMALL AIRCRAFT) 2 POSTS - DAR ES SALAAM (RE – ADVERTISED) 4.0.2 JOB PURPOSE To assist in ensuring compliance with the regulatory...
0 Reactions
0 Replies
638 Views
JOB TITLE: LIQUORER GRADE II-1 POST 8.1.1 DUTIES & RESPONSIBILITIES i. Carries out coffee roasting outturns and pre-auction cupping preparations; ii. Safe keeps and updates liquoring files of...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Habarini ndugu wana jf, Niko hapa nina shida natafuta kazi yeyote usafi, kufua , upishi, kazi ya duka aina yeyote Nina uzoefu nazo, elimu yangu kidato cha nne. Napatikana Moshi/Mwanga nisaidieni.
3 Reactions
3 Replies
3K Views
JOB TITLE: ASSISTANT QUALITY ASSURANCE OFFICER III (1 POST) – RE-ADVERTISED 3.0.2. DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To conduct inspection and supportive supervisions of health facilities; ii. To...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
1. JOB TITLE: SALES OFFICER II - (10 POSTS) ● Sales/Marketing – (5 POSTS) ● Entrepreneurship – (5 POSTS) 7.2.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To ensure proper maintenance of customer...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
#1 Wakuu nawasalimu kwa heshima zote.. Mimi ni muhangaikaji mwezenu, niko katika harakati za kutafuta riziki ili mkono uende kinywani... Kama tujuavyo vijana wengi tupo ktk zahama kubwa ya ukosefu...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu nawasalimu kwa heshima zote.. Mimi ni muhangaikaji mwezenu, niko katika harakati za kutafuta riziki ili mkono uende kinywani... Kama tujuavyo vijana wengi tupo ktk zahama kubwa ya ukosefu wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wanajamiiforum mbele yenu ni kijana wa miaka 24 ninatafuta kazi kwa Sasa nipo dar. Elimu yangu ni NTA level 4 in mechanical engineering na Advanced certificate of secondary school in...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jamii naombeni kazi yeyote ile mdogo wenu napigika sana mtaani. Elimu yangu ni form4 nipo Dar es Salaam. Mawasiliano: 0692865543
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wapendwa JF users, Mimi ni mwanamke miaka 31. Nina degree ya computer science na Nina experience ya Kazi kama system administrator, Customer care and Technical support. Kwa mwenye...
7 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wapendwa, Nina ndugu yangu alipata ajali na familia yae! Kwa ufupi tu anahitaji mtu wa kumsaidia mtoto wake wa umri wa miaka nane, amevunjika na hajitambui anahitaji mtu wa kumhudumia wa...
10 Reactions
80 Replies
8K Views
Habari wanajamvi naulizia zile nafasi 300 zilizotangazwa na NBS wameshaita watu kwaajili ya usahili? Maana deadline ilikuwa 14/3/2021, au ndio hadi maombolezo yaishe
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom