Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Nimemaliza shahada ya Utamaduni na Utalii (Cultural Anthropology and Tourism) Naishi Dar es Salaam. Ni miaka zaidi ya kumi sasa imepita bado nahangaika na maisha. Nimekuja hapa kuomba msaada wa...
11 Reactions
192 Replies
27K Views
Habari wakuu, Mimi ni dereva mwenye leseni inayoniluhusu kuendesha abiria na nina hati ya tabia njema kutoka wizara ya mambo ya ndani, natafuta gari ndogo ya mkataba kwaajili ya kazi ya kubeba...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
JOB OPPORTUNITIES Workplace: Dar es salaam, Tanzania 1. JOB TITLE: Inventory Officer (2 positions) ● Diploma/Degree in Accounting, Logistics, Supply Chain or related field ● 2 years experience...
2 Reactions
0 Replies
821 Views
JOB TITLE: Administrative Assistant Location: Mwanza, Tanzania Currently, we are seeking suitably qualified candidates to fill in a Administrative Assistant – Mwanza for USAID Tulonge Afya...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
1.1. QUALIFICATIONS Holder of Form IV or Form VI certificate with Trade Test Grade I/Level III in Plumbing or equivalent qualifications from recognized institutions. 1.2. KEY RESPONSIBILITIES i...
0 Reactions
0 Replies
390 Views
JOB TITLE: Account Manager (Ads Sales) - Tanzania Job Description: In support of Mdundo’s continued growth and expansion in Africa, the company is seeking Account Managers to drive the sale of...
0 Reactions
0 Replies
497 Views
Wakuu Salaam; Ofisi ya Rais-Tamisemi imefungua rasmi dirisha la kutuma maombi ya ajira kwa sekta ya elimu. Kila aliye na sifa anaweza kuomba ajira hiyo kupitia link ifuatayo...
12 Reactions
1K Replies
114K Views
Habari za wakati huu; Wakati ukiendelea kutuma barua kuomba ajira katika sehemu mbalimbali unaweza pia kutumia elimu yako kutafuta solution ya moja ya changamoto za elimu ikiwa ni pamoja na kutoa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Business Development Associate (2Posts) Our Clients are looking for an energetic Business Development Associate to help drive sales and grow the business. You will attract new clients and build...
2 Reactions
2 Replies
690 Views
Kwa mtu yeyote mwenye Uhitaji wa Graphics Designer, including Motion Graphics Designer tuwasiliane kwa namba 0769820510, Gharama zetu ni nafuu sana!
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Ndugu zangu natafuta kazi yoyote halali ili niweze kuendesha maisha yangu. Elimu yangu ni kidato cha sita, pia nina ujuzi wa computer. Umri 30+ years. Ninaishi Dar.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu... Baada ya life kuwa gumu kitaa...nyumbani makelele mengi kwa wazee juu ya umri kwenda huku hakuna unachofanya yapi nimeamua.... Kuanzia kesho nataka kuzunguka viwanda vyote vya dar...
16 Reactions
52 Replies
43K Views
POST: DRIVERS – 18 POST POST CATEGORY(S): DRIVER’S EMPLOYER: Occupational Safety and Health Authority (OSHA) APPLICATION TIMELINE: 2021-02-17 2021-03-02 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
Nina program moja ya kuisaidia jamii hususani watoto katika sector ya elimu, inahusu kuandaa Handouts/Notes katika mfumo wa Vitini. Sifa ya vitini 1) Simplified...ili mwanfunzi asiwe bored...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenye kufahamu hapo kwenye "ph form" msaada tutani.
1 Reactions
1 Replies
696 Views
Habari zenu, Natafuta mtu anayeweza kufanya kazi ya business manager mwenye uzoefu usiopungua miaka 2 About business: The business deals with workshop tools, maintenance tools including...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Samahani wakuu, naomba waliowahi kufanya Interview ya Accountant Assistant utumishi wanipe dondoo Kuhusu maswali Yao
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Kazi full time na part time. .. 1. Editor awe anajua editing software 2. Still photographer Anayejua kupiga still Pic. Kutumia camera tofauti tofauti na mazingira tofauti. 3. Videographer...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari wanajamvi mimi nikija nina miaka 26 nadhani kama mtakumbuka miezi kadhaa niliandika topic ya kuomba ushauri baada ya kudisco chuo nimekaa nimetafakari naona kama nachanganyikiwa nimepoteza...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Zimepita wiki tatu sasa tangu Ile interview ya watu 20, 000 lifanyike wakitaka watu 58 tu
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Back
Top Bottom