Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Warehouse Operator Sandvik is a high-tech and global engineering group offering products and services that enhance customer productivity, profitability and sustainability. We hold world-leading...
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Naitwa Sabrina Nina miaka 22, Naishi Dar, Ukonga. Elimu yangu kidato cha 4 Naongea English na Kiswahili, Natafuta kazi ya duka la nguo, vipodozi, supermarket au usafi wa maofisini.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Imepita wiki sasa baada ya Mradi wa Mwalimu Nyerere kufunga pazia la kupokea maombi kwa ajili ya maombi ya zile ajira 1500+ Pale kiloka kwenye kampuni za Arab Contactors na Elsewedy Je, kuna mtu...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF yote, Mimi ni kijana mwenye miaka 22 ninaishi Arusha elimu yangu nimeishia Darasa 7 nimetoka kijijini toka 2014 nilikuwa nafanya kazi kwa wahindi kusambaza bidhaa mbalimbali...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunaitaji muhasibu msaidizi awe na sifa zifuatazo. Elimu kuanzia diploma. Jinsia ya Kiume. Ajuwe kutumia Tally itakuwa bora zaidi. Kama hajui atafundishwa. Ajuwe Kiswahili na Kingereza ( kusoma...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Dear all Hiring Managers, Please stop asking 25-year-olds to have 15 years of industry work experience for entry-level jobs. Instead ask them if they will work hard and care about your company...
7 Reactions
43 Replies
3K Views
JOB OPPORTUNITIES Bonyeza kila moja hapo chini kusoma zaidi na kuapply: 1. Food And Security Nutrition Adviser (Kagera) 2. Employability And Entrepreneurship Adviser (Shinyanga) 3. Employability...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
JOB OPPORTUNITIES Bonyeza hapo chini kudownload PDF:
5 Reactions
5 Replies
2K Views
JOB OPPORTUNITIES CHILD SAFEGUARDING: Level 3: √ the post holder will have contact with children and/or young people either frequently (e.g. once a week or more) or intensively (e.g. four days...
0 Reactions
2 Replies
751 Views
Mimi ni kijana wa 25 mkazi wa mbeya mjini .nimemaliza chuo kwa levels ya degree nimesoma ICT katika iyo field niko vizuri kwenye database ususani katika oracle na mysql katika kufanya designing...
3 Reactions
53 Replies
6K Views
Wasalam, Napenda nichukue nafasi hii kuwakaribisha katika kushare skills zangu kwa jamii yangu kupitia kuwasaidia watu wenye vikundi miskiti na makanisa mbalimbali kujipatia huduma ya...
0 Reactions
0 Replies
594 Views
JOB OPPORTUNITIES Bonyeza kila moja hapo chini kusoma zaidi: 1. Audit Associate -(3 Posts) 2. IT Supervisor- (1 Post) 3. Tax Senior Associate- (1 Post) 4. Marketing Manager- (1 Post) 5. Internal...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
ANATAKIWA DADA WA KUUZA DUKA LA DAWA MWENYE CHETI CHA ADDO DUKA LIPO LINDI FOR MORE INFO PIGA 0675737281 Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Habari waungwana nilikuwa naomba kujua kama mishahara ya HRO kwa privae sector kama inaridhisha (mikubwa?)
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari, Nahitaji mtu anaejua Kutumia Social media vizuri mwenye uelewa mzuri...wa namna ya Kutumia mitandao ya jamii. Hii sio Ajira ya kudumu like nahitaji kuelekezwa kwa Muda mufupi kwa ajili...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wakuu. Mimi ni kijana muhitimu wa Shahada ya kwanza ya Uhandisi Mitambo(Mechanical Engineering) mwaka 2019 kutoka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT). Naishi Mbagala, Dar es...
6 Reactions
45 Replies
6K Views
Habari wadau! Hili swala la ukomo wa umri katika suala la ajira binafsi naona litakuja kuwagawa watu wengi hususa kizazi hiki cha sasa. Ajira zinatolewa unaambiwa applicant must not exceed 30yrs...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
JOB OPPORTUNITIES Bonyeza kila moja hapo chini kusoma zaidi na kuapply: 2. Medical Doctor- (3 Posts) CCBRT is an equal opportunities employer and encourages people with disabilities to apply...
1 Reactions
0 Replies
552 Views
Hello, natumai wote ni wazima. Naomba msaada kwenye mkataba imeandikwa mwajiriwa atalipwa mshahara wa siku kumi kwa mwaka mzima kama kiinua mgongo baada ya kumaliza mkataba. Hii ina maana ipi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom