Binti wa miaka 25 elimu stashahada ya uhasibu nipo hapa kuomba ajira kwenu ndugu zangu. Sio lazima kazi nilosomea hapana kazi yoyote halali itakayoniwezesha kujikimu kimaisha.
Napatikana Kibaha...
Habari ndugu zangu Mimi ni dereva wa Uber natafuta gari ya kazi.
Nina uzoefu wa Kazi zaidi ya miaka miwili ya Uber Nina account ya uber na bolt pia nina leseni class c pia gari iwe ya mkataba au...
Habari zenu waheshimiwa!
Binafsi ni muhitimu wa ngazi ya shahada ya kwanza katika nyanja ya uhandisi migodi na uchenjuaji.
Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye connection ya kazi nyanja yoyote...
TERMS OF REFERENCE
A. OVERVIEW, PURPOSE AND OBJECTIVES OF THIS CONSULTANCY
1. Overview
The Centre for Counselling Nutrition and Health Care (COUNSENUTH) is a leading Non-Profit, Non-Governmental...
Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Agency aimed at providing cost effective and sustainable maintenance and development of the road’s networks and construction of Airports in Tanzania...
JOB OPPORTUNITIES
Bonyeza kila moja hapo chini kusom zaidi na kuapply:
1. Program Specialist (1 Post)
2. Program Associate- (1 Post)
The United Nations does not charge any application...
Kwema wana jukwaa la JF
Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam tegeta nakuja mbele yenu kuomba kazi yoyoye halali ya kujipatia kipato. Maji yamenifika ukingoni baada ya kukaa muda mrefu bila kazi na na...
The Salvation Army has been operating in Tanzania for over 80 years. At present, there are more than 150 Salvation Army locations in Tanzania. Each location aims to bring the Good News of Jesus...
BACKGROUND
Service, Health and Development for people living with HIV /AIDS (SHDEPHA+) is a national non-governmental organization, registered on 21 November 1994 with registration number SO 8216...
DRIVER JOB DESCRIPTION
Job Objectives
The objectives of this position is to perform the driving of DRC Tanzania work is carried out and ensure the safety of the staff, looking after the vehicle...
Job Summary
To increase copy sales and develop relationships with partners in the distribution channel and to ensure that set KPI’s are met while maintaining an optimal return level.
Full Job...
Eligibility criteria: Minimum age: 25 years old. Nationals of the country of assignment are not eligible, except the assignments in Headquarters duty stations.
Description of task
Under the...
Habari za muda huu wanajamvi Naitwa Christopher Haule natokea Morogoro kwa sasa Nipo Dar nimemaliza Diploma ya Clinical medicine (Utabibu) Mkoani Ruvuma mwaka 2020 natafuta hospitali yoyote ya...
Natafuta kazi kwa mwana jf ya kufundisha masomo ya computer na security systems both practical na theory
Masomo ya computer ambayo ninayofundisha ni
1. Computer application
2. Desktop...
VACANCY: PROJECT EXECUTANT – LAND FOR LIFE
WWF is seeking to hire a competent and motivated Project Executant – Land for life for its office in Tanzania, based in Arusha.
Main Tasks
Under the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.