Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
JWTZ walitoa ajira kama mara 2 hivi lakini hakuna hata moja niliyoona watu wakiitwa kwenye usaili. Ya kwanza kuna ile ambayo walitoa wakasema ni kwa ajili ya watu ambao mkataba wao umeshaisha na...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Je, kuna uwezekano kwamba tangazo la ajjra limetangaza nafasi 5 ila kuitwa kazini idadi ikaongezeka? Naomba kujua.
2 Reactions
9 Replies
705 Views
Ndugu zangu nimeitwa kwenye usahili wa ICT TECHNICIAN TRA kwa wale waliowahi kufanya hebu msaada kidogo wa nondo za maswali ya ICT TECHNICIAN
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari familia, kuja jambo linanitatiza, kwa waliopo kwenye ajira hasa binafsi, Kuna hii Kodi ya mapato inayotokana na mshahara, aisee hii Kodi ni kubwa mno inaumiza Sana, sijajua ndo utaratibu...
0 Reactions
1 Replies
227 Views
Naombeni kuuliza kuna ndugu yangu anataka kujua: Ukifanya oral interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako.
5 Reactions
98 Replies
12K Views
Uongozi wa Wonderwell Daycare and Nursery School Daycare iliyopo Mikocheni unawatangazia nafasi za kazi kwa walimu wakike waliobobea kwenye taaluma ya makuzi ya watoto. Shule ni mpya na Usaili...
2 Reactions
1 Replies
378 Views
Habari, Naitwa device frabius mkazi wa Dar es Salaam Mikocheni natafuta pikipiki mpya iliyosimama kwa mkataba Kwa siku 10,000/= ikiwa boxer itapendeza zaidi, nahitaji kwasababu ya Bolt. 0617146950
7 Reactions
20 Replies
1K Views
Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari? Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri...
10 Reactions
164 Replies
6K Views
Habari, Nina kazi ya kukusanya data kwa wakulima wa alizeti katika Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida. Natafuta jumla ya vijana sita waliomaliza degree lkn hawana ajira kwaajili ya kukusanya data...
6 Reactions
16 Replies
869 Views
Job type: Full-time TITLE: Project Accountant (1 Position) Organization: Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) Duty Station: Dar es Salaam Type of Contract: Full Time Reporting To...
1 Reactions
0 Replies
205 Views
Job type: Full-time JOB VACANCY – LABORATORY SUPERVISOR Title: Laboratory Supervisor Duration: 12 months (Fixed Term Contract) – Full time position (100%) Direct Reports: Project...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Hivi hizi kazi za watendaji wa vijiji na kata kwanini wamepewa kazi ya kuajiri wakati wanashindwa kufuata taratibu nzuri za kuajiri? Maana nimeshangaa sana kuwaita watu kufanya interview za kwanza...
2 Reactions
9 Replies
752 Views
Natafuta kazi ya kufanya kwa Stationery. Nipo Dar es salaam
3 Reactions
9 Replies
619 Views
Vacancy: Health Volunteer – Receptionist Ref: 2024-18 Job type: Full-time Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the preferred provider of accessible...
1 Reactions
4 Replies
349 Views
Wakuu naandika huu uzi inshort nmeridhika sahivi sina hta nyege ya ku apply kazi yotote ile kama kutafuta kazi nmetafuta nimechoka na upper second nzuri tu lakin ndo hvo nmeenda kila kona patupu...
89 Reactions
303 Replies
41K Views
Job type: Full-time ABOUT US: Tanzania Commercial Bank is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products...
1 Reactions
1 Replies
284 Views
Job type: Full-time ASSISTANT TREASURY ACCOUNTANT (1 Position(s)) Responsibility: Perform routine accounting task e.g. posting process, data entry, posting of ledgers and preparation of voucher...
0 Reactions
0 Replies
193 Views
Job type: Full-time KAIRUKI UNIVERSITY VACANCY ADVERTISEMENT Applications are invited from suitably qualified and experienced Tanzanians to fill the position of Supplies Officer at Kairuki...
0 Reactions
0 Replies
191 Views
Job type: Full-time Job Description: HIV Program Officer Organization Overview The Global Programs (GP) Office in Tanzania is an affiliate of the University of California, San Francisco (UCSF)...
0 Reactions
1 Replies
250 Views
Back
Top Bottom