Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
POST GAMES TUTOR II - 4 POST EMPLOYER Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) APPLICATION TIMELINE: 2024-10-04 2024-10-14 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES I. To assist senior games...
0 Reactions
1 Replies
159 Views
POST ARTISAN II -(CARPENTER) - 1 POST EMPLOYER Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) APPLICATION TIMELINE: 2024-10-04 2024-10-14 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To...
0 Reactions
1 Replies
123 Views
Tusichoshane.. Hawa utumishi Kazi imeshawashinda, nao wanahitaji kufanyiwa interview. Kada ya afya tangu wafanye usahili Mwezi Sasa unaisha. Waalimu tangu waaplai Mwezi na nusu Sasa. Kada zingine...
4 Reactions
14 Replies
831 Views
Habari, Mimi ni recent graduate wa Bsc. Environmental Sciences and Management kutoka SUA. Naombeni mnishike mkono kwa yeyote mwenye kazi ya halali walau nipate chochote kitu. Natanguliza...
6 Reactions
92 Replies
2K Views
Mzuka? Naomba niulize wana jukwaa kuhusu swala la overtime kwenye ajira. Hivi overtime huwa inakuwa na makato yoyote kama Nssf au mwajiriwa anatakiwa apewe overtime yake kama ilivyo? kabla...
0 Reactions
5 Replies
315 Views
Nina mdogo wangu binti, miaka 28 akiwa na uzoefu wa miaka 2 ya kazi. Kwa sasa yupo Dar es salaam anahitaji kazi aidha ya kuajiriwa au mshauri binafsi wa masuala ya kisheria kwenye taasisi...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu, nilipoteza cheti original cha chuo, nna copy tu ambayo iko certified. Nimetuma maombi ya kazi nmb na kcb bank nafasi zilizotangazwa hivi karibuni.je kutokua na cheti og kunaweza...
2 Reactions
10 Replies
485 Views
Je umuhimu wa Degree zetu upo wapi huku mtaani, tunasota na tunahangaika na mabahasha kutafuta ajira huku serikali ikiweka ahadi kede kede ambazo hazitekelezeki Haya hata hizi kazi mbalimbali za...
11 Reactions
48 Replies
2K Views
We invite reputable Class 6 and above building contractors registered with the Contractors Registration Board (CRB) to submit tenders for this project. Guidelines and further details will be...
0 Reactions
0 Replies
184 Views
Kwa wale walioomba nafasi ya utendaji kwenye halmashauri mbalimbali majina yameanza toka Sasa hapa itakuwa ndo mahali pa kupeana taarifa mbali mbali. MASWALI YA BAHI WRITTEN/WRITTEN LEO TAR...
6 Reactions
59 Replies
24K Views
Kazi kwenu wenye sifa
0 Reactions
2 Replies
413 Views
Kwanza niaze na salam ..Asalam alaikum wakubwa wa jamii forum Kwa majina naitwa saleh khamis Ninatafuta kazi ya Mwakilishi wa Mauzo | Agent wa Huduma kwa Wateja | cashir au kazi yeyote...
3 Reactions
1 Replies
201 Views
Wazee niaje Jkt yazindua goma jipya 2024, mchakato wa maombi kuanza mosi 2024, oktoba. Mshindwe ninyi tu!
2 Reactions
84 Replies
6K Views
Acheni kutuchukua vijana Kwenda JKT mkatulimisha kisha mkatuacha MTAANI, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu ambao hata JKT HAWAJAPITA, halafu mtaani wanajisifu, Watu wamekaa JKT miaka 3 halafu...
60 Reactions
146 Replies
9K Views
Habri za mida .....naitaji mwenye muhuri wa mechanical engineer kwa ajili ya document
0 Reactions
1 Replies
206 Views
About EA Fruits East Africa Fruits is a food-tech company focusing on the efficient distribution of foods from farm to market. It has an extensive operations and logistics team that works around...
1 Reactions
3 Replies
272 Views
About EA Fruits East Africa Fruits is a food-tech company focusing on the efficient distribution of foods from farm to market. It has an extensive operations and logistics team that works around...
1 Reactions
3 Replies
591 Views
About EA Fruits East Africa Fruits is a food-tech company focusing on the efficient distribution of foods from farm to market. It has an extensive operations and logistics team that works around...
0 Reactions
3 Replies
245 Views
Habari wana JF mimi ni dereva lakini leseni yangu ni daraja (D) na nina uzoefu wa mwaka na nusu sasa,nawezaje kupata ajira? Elimu yangu sio kubwa ila nimeishia STD VII kusoma na kuandika niko vizuri.
0 Reactions
25 Replies
12K Views
Kuna mdada yupo Mipango Dodoma, kama kuna mtu anaehitaj kufuliwa siku ya leo ndani ya Dodoma mjini, sharti nguo na kila unamtolea nje na hamna extra service. naenda mahali mteja alipo namba...
4 Reactions
27 Replies
744 Views
Back
Top Bottom