Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Jamhuri ya muungano. Katika moja na mbili nikakutana na kijana anayeishi upande huu wa pili wa shilingi (Zanzibar), akiwa mnyonge sana, mdomo mkavu mithili ya dagaa wa nyasa waliokaushwa, kichwa...
1 Reactions
8 Replies
511 Views
Jamhuri ya Muungano.... Kwenye usaili wa Oral Kada ya afya wengi wameboronga kwa sababu ya kingereza kibovu. Kutokujua kingereza wengi kumewafanya wasijiamini katika kujieleza. Ndugu zetu...
14 Reactions
45 Replies
3K Views
Wakuu habari, Nimegraduate Bachelor of Science in Forestry 2022, na kwa sasa nipo Dodoma najitafuta. Natafuta mtu yeyote anaeweza nisaidia kupata nafasi ya kufanya Internship kwenye ofisi ya...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu, ninakaribia kutimiza mwaka tangu nihamie sehemu hii ninayoishi sasa. Lakini hali niliyokutana nayo hapa inaniumiza sana, hasa kutokana na biashara ninayotaka kuanzisha. Biashara hii...
4 Reactions
8 Replies
283 Views
Habari wakuu Kuna yoyote aliyewahi Fanya online test za eacop project kwa upande wa law wanauliza maswali gani msaada make pale Kwenye description hawakusema Chochote haswa kwa watu wa...
2 Reactions
6 Replies
423 Views
Habari wadau, Natumaini ni wazima, naombeni kuuliza kwa yeyote anayejua kuhusu hii njia ya kwenda, Ulaya kwa njia ya kanisa na baadae kujilipua na kubakia hukohuko ulaya, na mwishowe kupata...
4 Reactions
8 Replies
735 Views
Wanajamiiforum naomba kufahamishwa salary scale PHTS 1.1 kiasi gani Tsh?
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari wana jamvi. Jiji la daslamu limejaa shughuli nyingi kuanzia viwanda vidogo mpk vikubwa, makampuni, mashirika na hata michongo midogomidogo. Kutokana na uwejezaji huo kwenye sekta...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Anonymous (ab64)
Wilaya ya kisarawe, hivi karibuni kumefanyika uhamisho wa baadhi ya watumishi kwenda vituo tofauti vya kazi, uhamisho huo umefanyika bila malipo ya stahiki ambazo watumishi wanatakiwa kupatiwa ili...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Katika kada inayoongoza kwa kulaumiwa na kuonewa ni afya. Sasa viongozi wa kada hiyo ni madaktari maana ndio moyo. Nataka kujua, wanalipwa kiasi gani mpaka wanaonewa kiasi hicho? Tulinganishe na...
46 Reactions
254 Replies
46K Views
Ingien ajira.go.tz Land valuation, surveyors, cartographers, geographist,GIS, town planners and alike. Data recorder kwa Level ya degree.
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Natafuta mfanya kazi mwenye uzoefu wa kazi ya uwakala (money transaction) Tigo pesa, Airtel money, M-PESA, Halopesa, CRDB & NMB Ofisi ipo kigamboni Mikadi /Dar es salaam Tanzania. awe na uzoefu...
1 Reactions
1 Replies
758 Views
Poleni na kazi wakuu, Mimi kijana nahitaji kupata bajaji ya mkataba, kwa yeyote anayemiliki au anataka kufanya biashara ya bajaji basi mimi niko tayari. Napatikana Dar. Kwa mawasiliano zaidi...
4 Reactions
3 Replies
381 Views
Nina kijana/rafiki Fundi mzuri wa magari (mechanics), yupo Dar anatafuta kazi Ni Kijana muaminifu sana (hatumii kileo chochote), Elimu kidato cha nne; amepata ujuzi huo kwa kufundishwa katika...
2 Reactions
6 Replies
249 Views
Location: Horizons College of Learning and Enrichment, Australia Position Type: Full-time Salary:Competitive, based on experience and qualifications Application Deadline: 30/10/2024 Job...
1 Reactions
3 Replies
487 Views
Husika na kichwa Cha habari hapo juu. Nipo Dar es salaam ila nipo tayari kufanya kazi hata nje ya Dar es salaam. Umri = 31 Elimu = Form four Uraia = Mtanzania Uzoefu = Miaka minne Note...
4 Reactions
5 Replies
693 Views
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga. 1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la...
34 Reactions
250 Replies
12K Views
Fursa kwa walimu wa ufundi Kusoma zaidi: https://www.jamiiforums.com/attachments/ajiraleo-com_tangazo-la-kazi-septemba-17-pdf.3099151/
2 Reactions
1 Replies
644 Views
Ambao mmepata kazi kupitia hii application site. Naona hii ishu ya affidavit kwene kuattach document!! Ni lazima au option
1 Reactions
3 Replies
702 Views
Jaman wadau nauliza kuhusu post za ualimu diploma zimetoka au bado
1 Reactions
3 Replies
389 Views
Back
Top Bottom