Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Heshima yenu wakuu. Ninaorodhesha credentials zangu hapo chini kwa lengo la kuomba kazi ya muda mfupi ama mrefu yenye malipo yasiyopungua 15,000/= kwa siku. 1. Ninaishi Kigamboni 2. Umri wangu...
33 Reactions
513 Replies
39K Views
ASANTENI SANA TAYARI TUMESHAPATA WAFANYAKAZI KATIKA NAFASI ZOTE TULIZO TANGAZA
1 Reactions
9 Replies
727 Views
Habari wakuu, Naitwa Erick Bernard natafuta Kazi ya ualimu nimesomea early child hood. Sifa zangu Mpole na mwenye kuheshimu kila MTU Mchapakazi Ninafundishika Hofu ya Mungu ELIMU- degree ya...
2 Reactions
6 Replies
391 Views
UNAHITAJI KUDESIGN STICKERS & PRODUCTS LABELS,VIPEPERUSHI,POSTER NA LOGO YA BIDHAA YAKO? Usikubali bidhaa yako uize kiholela sokoni bila kuwa na utambulisho wenye muonekano mzuri na kuuzika...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Habari wakuu, Samahani kwa mwenye uelewa wowote kuhusu usahili kwa kada ya Afisa Afya Mazingira anisaidie, pia nakaribisha wanakada wenzangu tujadili kujiandaa na usaili. SHUKRAN IN ADVANCE
1 Reactions
4 Replies
646 Views
Kuna baadhi ya vituo vya afya hapa nchini wanatoza malipo ya dawa kwa wajawazito waliojifungua hasa wale waliofanyiwa upasuaji. Swali langu; Je ni haki mama aliyefanyiwa upasuaji kulipia...
0 Reactions
2 Replies
163 Views
Habari jamani Mimi ni Personal secretary kwenye shirika binafsi.kuna post imetangazwa utumishi.nataka kuapply ila sijaelewa iyo scale yao ya mshahara ni sh.ngapi naomba Msaada tafadhali
1 Reactions
11 Replies
59K Views
Mimi ni mwajiriwa kampuni fulani hapa Dar es Salaam ila kuna kazi imetokea yenye mshahara mzuri kuliko huku nilipo sasa kulikua na mchujo hatimae tumebaki watu watano kati ya 20. Miongoni mwa...
0 Reactions
19 Replies
737 Views
Wale wote tulioomba ajira za muda katika Tume Huru ya Uchaguzi kwajili ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura huu ni uzi wetu. Tupeane updates ya majina yatatoka lini?
4 Reactions
50 Replies
5K Views
Wakuu habari za siku, kama heading inavosema hapo juu, Kama mpo humu jukwaan Wasaka ajira wenzangu wa kada ya Forest Officers au waajiliwa mlioko kazini tusaidiane peana hints ili sote kwa pamoja...
1 Reactions
7 Replies
491 Views
Background KalTon Investment is a sole proprietor with registration number 515583. KalTon Investment is a financial services agent for Airtel Money, Mpesa, Tigo Pesa, HaloPesa, T-Pesa and Selcom...
1 Reactions
1 Replies
259 Views
Kwa mara nyingine tena ni mimi na mambo ya Ajira portal msinichoke. Wakuu ivi certified true copy ukiachana na kiwe na muhuri wa wakili, je inaweza kuwa hata black and white au ni lazima iwe...
4 Reactions
41 Replies
1K Views
Kwa mtu anayejua kuhusu EU psychological evaluation anielekeze. Na jinsi ya kupata cheti kwa Tanzania.
1 Reactions
4 Replies
299 Views
Salama wana jukwaa, Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye mke na watoto wawili, nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kazi yoyote ile kujikimu mimi na familia yangu. Elimu yangu ni "Bachelor of...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Anahitajika mwalimu wa kujitolea hasa wa kike, awe na uwezo wa kufundisha darasa I na II, hata chini ya hapo siyo mbaya. Awe mahiri wa lugha za Kiingereza na Kiswahili, hasa kuzungumza Kiingereza...
5 Reactions
16 Replies
701 Views
Internship for Tanzania Private Sector Strengthening Project The USAID-funded Feed the Future Tanzania Imarisha Sekta Binafsi (Private Sector Strengthening) project in Tanzania, implemented by...
0 Reactions
0 Replies
360 Views
Dreaming big is in our DNA. It’s who we are as a company. It’s our culture. It’s our heritage. And more than ever, it’s our future. A future where we’re always looking forward. Always serving up...
0 Reactions
0 Replies
167 Views
Background KalTon Investment is a sole proprietor with registration number 515583. KalTon Investment is a financial services agent for Airtel Money, Mpesa, Tigo Pesa, HaloPesa, T-Pesa and Selcom...
0 Reactions
1 Replies
271 Views
Salama wakuu, Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye mke na watoto wawili, nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kazi yoyote ile kujikimu mimi na familia yangu. Elimu yangu ni "Bachelor of Business...
0 Reactions
0 Replies
193 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, Najua humu JF kuna watu tofauti tofauti wenye uwezo mkubwa,kati na chini wote kwa pamoja msaidieni binti kibarua chochote aweze kujikwamua kimaisha ana...
0 Reactions
5 Replies
213 Views
Back
Top Bottom