Makala hii itakusaidia kuweza kuondoa pattern ama password (nywila) uliyosahau katika simu yako (Android), zipo njia nyingi kutegemea na aina ya simu au toleo la Android ambalo simu yako inatumia...
Nina simu yangu ya batani Itel t5020, nimesahau Password yake, nifanye trick gani ili ifunguke?
Nimejarubu kuingia YouTube ila sijafanikiwa kupata ufumbuzi wa tatizp langu
Habari,
Nina sumsung A32 5g
inaandikwa kt network
Ukiweka SIM card ya tigo inaandika
Limited service
Haikubali kusoma line za bongo
Kwa mafundi software na hardware nipeni solution
Habari wana Home of Great Thinkers,
Nimedondosha Mashine ninayotumia HP probook 440 G2 imevunja Case yake upande wa Kioo.
Mwenye Housing /case ya mashine hio tuwasiliane nataka kununua.
Habari za muda huu wadau,
Nauliza kwenu hivi naweza kupata wapi vifaa vya kutengeneza ''Mini Tv cable"..Yani nakua na visimbuzi vitatu Azam,DSTv na startimes halafu na vicombine chanell zake...
Za asubuhi wanaJF.
Leo ikiwa ni Jumanne tulivu, wanaJF wakitokea kwenye weekend ndefu kuanzia Jumamosi.
Ninaanza kwa swali kama kichwa kinavyosema, Je unaifahamu CANVA?
Share designs...
𝗩𝗼𝗱𝗮𝗰𝗼𝗺 𝗷𝘂𝘂 𝘆𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂 𝗸𝘂𝘁𝗮𝗽𝗲𝗹𝗶𝘄𝗮 𝗺𝗶𝘁𝗮𝗻𝗱𝗮𝗼𝗻𝗶
Jana Kwenye mtandao wa jamii forums kupitia mkurugenzi wa udhibiti wa hatari na utii wa sheria waliweza kuzungumza juu ya watu wanavyoweza kutambua...
wana jf wenzangu habari za leo naomba kama kuna mtu yeyote ambaye anamiliki receiver ya XMASTER MIN HD iliyokufa a.k.a mbovu naomba aniuzie tuwasiliane kwa whasaph no 0684 061188.
Habarini wakuu.
Naombeni pendekezo la TV nzuri ( specification na model)nayoweza kupata kwa bajeti hiyo hapo.
Vigezo ni ubora wa picha na smart features.
Chief-Mkwawa
Huwa napenda sana kucheza game ya mpira kwenye playstation, x box na pc kwasababu mambo ni chap chap, ukiwasha game waweza kuchagua timu unayotaka unazama uwanjani kulisakata kabumbu.
Kwenye game...
Kama tunavojua apple wanapotoa toleo jipya la simu mfano iphone 15
pia hutoa na software mpya? Sasa hii hapa nakusogezea ili utambue.
Apple wameamua kuacha kuzipa updates simu hizi baada ya...
Hard disk langu lilikuwa 3Tb sijui wakati wa kuformat nimebonyeza wapi limebaki 746Gb .
Naombeni mwenye ujuzi anisaidie jinsi ya kuurudisha volume yake halisi
Ukiachana na serverless backend kama Firebase, Supabase, etc. Ni Framework gani inamfanya developer awe productive zaidi kati ya Laravel na Django?
Binafsi, huwa natumia Node js kufanya backend...
Wakuu naombeni ushauri wenu na mwongozo kutoka kwenu,
Nilikua naangalia baadhi ya coz nazo weza kujifunza online nikavutiwa na Mambo ya Coding japo kua Sina knowledge yoyote kuhusu computer...
Habari,
Kwenu watalaamu, naomba kufahamishwa ni chemical gani ninaweza kutumia ili kutafanya maji ya bombani (dawsco) yawe matamu kama yanayosambazwa na chupa..mfano Hill water, masafi...
Nataka nianzishe mradi wangu wa ku-flash simu za aina zote.
Ni computer ya aina gani inaweza kuwa mzuri kwa kazi hii. Iwe na specifications za aina gani?
Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari
BAADA YA KUJUA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.