Naombeni msaada kabla sijauziwa simu chini ya mnara.....kuna hiyo sim apo kwenywe picha ni SAMSUNG GALAXY NOTE 3 SM -N900 Naomba kufahamu nitajuaje kama ni original na sio fake ili niweze rizika...
Habarini washikadau wangu wa nguvu, naomba kuuliza kuna uwezekano wowote mtu kufuatilia mambo yako unayochat kwenye groups mbalimbali kupitia kwenye email yako, ikiwa anaifahamu na password.
Kwa...
Wadau naomba niambiwe program gani nidownload ili simu yangu iweze kusoma document zilizo kwenye mfumo wa microsoft word.
pdf reader naona ninayo lakini haiwezi kuzisoma hizi za microsoft.
Wana tech nina computer aina ya dell optlex 745, tatizo lake haitoi sauti ila ukichomeka sound card usb inatoa, nimeangaika kuinstal driver nyingi tu lakini tatizo ni lile lile.
Ukinipigia unaambiwa niko bize hata kama namba ni ngeni hunipati ila baadae nikiaangalia kwenye calls naona kuna mtu kapiga.. natumia adroid bml onemin
Nna cm kama 3 za android ambazo nlizi soft brick wakat nlpoziroot na kutaka kuinstall fonts, zikaingia kwa bootloop mode, kwamb ile bootanimation inaendelea tu kuwepo na cm haiwaki ikamaliza, na...
Simu yangu haioneshi massage znazoingiaa ila nikituma mimi fresh inaenda kama kawa. Nimecheki setting ziko fresh msg center no. iko vizuri.
Nikichange line na kuweka kwenye simu nyingne...
Natafuta mwalimu wa kunifundisha kutumia quickbooks, nipo mwanza.
Awe mtalaam au ana uzoefu tu wa kutumia software hii. Kwa aliyeko mwanza au mikoa ya jirani naweza nikamfuata au akaja ofisini...
Habar wadau,
Kwa siku kadhaa sasa nmekua nikipokea hii sms kwnye simu yangu hata sijui chakufanya, nikiingia setting sielewi nifanyeje! nikicancel inajirudia. Naombeni msaada ni nini hiki na...
Nawezaje kuzitambua namba za simu za Tanzania?
Pia Nawezaje kuzitofautisha ktk makundi e.g Tigo, Voda, Airtel.
Nina .Net application inayotumia number za simu, but lazima ziwe za Tanzania to...
Wakubwa naomba msaada wa kujua tatizo la simu yangu imeibua katabia kakuchemka.
Sijui inasababishwa na nini napengine nifanyeje ili kuondoa hali hii.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.