Anayetumia TV hii naomba msaada. Tv yangu imegoma kuwaka inaonesha Red power botton tu, ukibofya Remote power botton ili kuwasha; taa nyekundu inatoka na kurudi vile vile. Nimehangaika hata...
Wakuu nina simu iPhone Version 4.1 nashindwa kudowloads vitu vingi sababu ya hiyo Version kutokuwa na uwezo huo maana kila nikidowloads i.e whatsApp inaniambia niiupdates to iOS 7. Tatizo lingine...
nitumie optmizer gani bomba?? kwa toshiba win 7 ultmat... na key zake itasaidia zaidi.. au kama in crakika!!
naamini mabingwa wa humu ndani hakuna popote!!
Kwa anayejua jiinsi ya kunlock sim kadi kwenye simu aina ya ZTE-G S309 ili iweze kutumia laini zote badaya ya laini moja tuu...............Anyone help please!
Wadau mambo niaje,
ebhana jamani mwenzenu nimeingizwa cha kike, nimenunua Galaxy s5 nikadhani original maana njia zote za kutest simu original nilifanya na iyo simu ikakubali ndipo nikainunua kwa...
Kichwa cha habari hapo kinajieleza vizuri.
Original Samsung Galaxy needed; Kwa alienayo Ani Pm tuwasiliane whatsap tufanye biashara fasta.
Rangi nyeupe au nyeusi
Isiwe na michubuko
Wadau leo mchana nikiwa na laptop kwenye begi kwa bahati mbaya niliigongesha wakati napanda daladala, nimefika home naiwasha inawaka lakini kioo hakitoi mwanga.
Msaada wale wataalamu wa hizi...
NASA's Chandra X-ray Observatory and the European Space Agency's XMM-Newton spotted an unusual X-ray signal in the data received from the Perseus galaxy cluster some 240 million light years away...
Jamani kuuliza sio ujinga, mimi kwenye jografia sio mkali. sasa naomba kuuliza Ni saa ipi inayotumika kama reference ya saa zingine duniani?? na hiyo saa iko wapi (nchi gani?). naomba kama hata...
mi ni kijana mwenye miaka 21, japo nasomea bachelor in accountiancy nmeona computer ni bonge la dili hapa bongo hasa ukifanya vitu ambavyo wachache wanavijua kama vile penetration testing(ni...
Usiache kujifunza kitu kipya kila kuitwapo leo.
Gartner, Inc. highlighted the top 10 technologies for information security and their implications for security organizations in 2014. Analysts...
Habari zenu wakuu,
Naomba kwa anaeweza kunitengenezea/kunielekeza mahali husika.
Kioo cha ipad kinakua kama kinavujia wino,hii ni baada ya mtoto kuiangusha chini,na sijajua mahali husika pa...
nweke wazi hizi cmu za tecno ni bei nafuu na zina uwezo wa kukidhi mengi utayohitaji kama kwenye smartphone za bei ghali, kwa mfano unaweza ukanunua tecno ya kawaida kabisa 150k mfano tecno p5 ila...
Habari wadau, Nina Laptop yangu ya HP ProBook 6550b imevunjika kioo, Naomba kujua kama kuna mtu ana fanya biashara ya uuzaji wa hizi screen ili tufanye biashara.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.