Plz naomba imnisaidie mwenye kuweza
Psp yangu imezima ghafla na inakaa standby
Yaani ukiiwasha inawaka taa ya kijani tu plz
Wakuu naombeni msaada wenu!!!!
Habari wana jf nackia kuna CD ya kuweza kumuandaa mtoto kujifunza kingereza, akiwa na umri wa miezi 8 na kuendelea, mwenye kujua hili tafadhari naomba msaada wako kuweza kuipata. my Son anamwaka...
Wana JF, laptop yangu kunapartion nimeona delete kimakosa lengo ilikuwa ni kushirink kasa ikaenda kwenye kudelete. Haikuwa drive C. Sasa laptop ikiwaka inanipa ujumbe juu
-Error: No such partition...
Habari zenu wakuu,
Nimepata hilo wazo, nakusanya vijana walosoma electric engineering, designing, telecom.
Tunakaa kama team tunadesign na kutengeneza simu.
Naombeni mawazo yenu wakuu kama hii...
wadau wa 3D animation( kwa kutumia blender) na graphics kwa ujumla ningependa kushirikiana na aliye tayari kutengeneza short film animation kwa kushaire ideas,lengo ni kujifunza zaidi ,kwa yeyote...
Wanajamvi wasalaam!
Nimekuwa natumia WordPress kutengeneza websites kwa mwaka sasa mpaka sasa hivi nina online projects zipatazo tano, kwa kipindi chote hiki nimekuwa natumia either theme za bure...
Mimi ni mpenzi wa simu za Nokia na kuna tetesi kwamba Nokia wapo mbioni kutengeneza simu zinazotumia technolojia ya Androids. Is a good news for Nokia users. Mimi binafsi natumia smartphone za...
Wakuu nimenunua sim ya blackbery curve. Tatizo haiungi internet. Natumia line ya TIGO.
Ilikuwa inaunga kama nusu siku natumia whatspa then inakata. Buta now naona imegoma mazima.
Msaada wenu...
wanaJF naomba kusaidiwa kufaham duka au mtu anayeweza kuniuzia OS X 10.5 au mpya zaidi ili niweke kwenye macbook yangu. nimetafuta online lakini napata zinazouzwa tu , na mimi siwezi kununua...
Ni kuhusiana na simu yangu ya nokia c3 kila nikifungua program ya game inajizima yenyewe na kujiwasha nilikua naomba kama kuna mwenye ufahamu wowote anisaidie tafadhali
Device yangu haina mambo mengi kiivyo ila nashangaa card imejaa n internal memory inajaa. Nmejaribu kubaini wapi data zinakimbilia kijihifadhi nmeshindwa. Msaada wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.