Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Huyu ni attendant was msd mbeya akiwaameagizwa na boss wake kupeleka control beads za cd4 machine zikiwa katika halo ya ujoto kama zinavyopokelew na lab quality officer wa mbeya referral...
0 Reactions
0 Replies
613 Views
Habari za muda huu wakuu,nimeshusha pes 2013 toka kat.ph nimekamilisha installation nikitaka ku start game inasema...the dynamic library "rld.dll"" failed to load.... Nikapitia net nikaona...
0 Reactions
3 Replies
965 Views
Wakuu naomba msaada nahitaji kujua kama TECNO D3 ina 3G internet , maana nimejaribu kuipekua sijsona mahali pa kuchagua 3g tafadhari kwa anae3 jua naomba anijuze. asanteni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
heri ya mwaka mpya na poleni na kazi za kuerimisha, nilikuwa naitaji ku-copy dvd moja ya bongo movie na computer ina DVD RW, ila nilipo iweka hiyo DVD na kuanza kui-copy kwa program ya shampoo na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
samahani nlikua naulizia nimeona sehem wanauza Android 3G tablet phone na nlikua naulizia kama kuna mtu anaweza kunihabarisha ndo inakuaje mana natamani kununua na bei ni 180.Ntashkuru...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada nilijailbreak kama miaka 2 iliyopita ikiwa na iOS 6.0.1 nikawa naweza install various paid application but last year mwezi wa 12 nikona ngoja niiupdatw software kwenda ios 7...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu habari. Naomba msaada juu ya ulaji wa mafuta kwa model mbali mbali za Prado kama nilivyoziorodhesha hapo juu. Nimeangalia kwenye mtandao magari mengi ya diesel ni KZJ. Mimi si mtaalam wa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu anajua kuflash hizi modem za sasatel huawei cdma ambazo hautumii line ila zina sehemu ya kuweka line.natanguliza shukrani..
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Please any one with adobe acrobat x1 pro serial, patch or crack. I downloaded patch but it need ZIP password and prompt me to complete survey to get password. But when i tried to follow survey...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
habarini, mara nyingi natumia mtandao wa sasatel kwa ajili ya internet, lakini kwa siku kama nne nashindwa kuwa connected. Kuna mwingine anapata tatizo hilo au ni mie nakosea mahali...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nina kifaa ambacho kinatakiwa kuwa kwenye net muda wote. Kwa bahati mbaya ninapata net toka sasatel. Ninapokuwa nyumbani huwa nina-share na Laptop yangu ambayo huwa naiungunganisha na hicho...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu natanguliza shukrani, ila naomba Mungu atupe afya na umri mrefu tuzidi kuona maendeleo ya technology miaka inavozidi kuenda. Nirudi katika lengo wakuu nataka kujua inawezekana kweli kupitia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa anayefahamu program ya kufanya download ya ios i resume pale ilipoishia maana ukubwa wake ni 1gb ukianza kudownload kupitia itunes net ikikatika hata kam imefikia 899mb ikianza inaanza na moja...
0 Reactions
2 Replies
965 Views
Katika Sony Tv inayopatikana katika visimbuzi vya dstv kuna Tv show inaitwa Trisha. Miongoni mwa yanayojadiliwa katika kipindi hicho ni hasa mambo yahusuyo familia kama vile watu kusingiziwa...
0 Reactions
3 Replies
916 Views
wadau naomba kufahamishwa jinsi ya kucomfirm card yangu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna njia yeyote ya kurudisha Number za simu nilizodelete katika simu yangu? NOKIA Ama Katika line ya Vodacom
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nliiroot kwa vroot sema ikaanza Alf eti kweli tecno hazitakiwi Uzi root
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna siku niliwahi kusikia jamaa mmoja akimwambia mwenzake, ili kuwa na TV anunue monotor na kifaa kinachoitwa TV boksi ili kuangalia TV kwa urahisi (bila ya kununa TV set), je ni kweli...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa anayefahamu, hasa wanaofanya kazi kwenye sekta ya mawasiliano naomba kujuzwa kuhusu hili: Hizi namba special mfano 15542, 15656 n.k zinasajiliwa kwa watu binafsi pia na matumizi yake ni sms...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Back
Top Bottom